Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,894
- 31,103
Gazeti la Raia mwema linalotoka mara moja kwa wiki [Jumatano] limekuwa adimu kama madini ya Tanzanite hapa mjini Arusha.Taarifa nilizojaribu kudodosa toka kwa wauza magazeti zinabainisha kwamba uhaba wa gazeti hilo unatokana na story iliyobeba ikimnanga mmoja wa vigogo wa siasa toka kanda ya kaskazini mwenye tamaa ya kukalia kiti cha magogoni.
Mwenye nakala ya Raia mwema tafadhali atumwagie hapa jamvini.
Mwenye nakala ya Raia mwema tafadhali atumwagie hapa jamvini.