Gazeti la Raia Mwema kutoka Alhamisi kusubiri bajeti ya upinzani

Halisi

JF-Expert Member
Jan 16, 2007
2,802
613
Katika ukurasa wa Facebook wa gazeti la Raia Mwema kuna taarifa ifuatayo:

Tunawaomba radhi wasomaji wetu kwa kutotoka leo na badala yake tutatoa kesho Alhamisi. Tumeona tutende haki kwa wapinzani maana tuliahirisha kwa sababu ya Bajeti ya Serikali, ambao hawajatupa tangazo, wapinzani wametupa tangazo la bajeti yao, tusingekuwa waungwana kuchapa Jumatano na kuacha bajeti yao. Tunaomba mutuunge mkono, Tutaendelea kutoa kila Jumatano siku zijazo

Bajeti yenyewe imesomwa leo na Zitto Kabwe.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...1-kambi-ya-upinzani-wanawasilisha-bajeti.html

Kuna taarifa kwamba Nape Nnauye anakutana na waandishi leo kuzungumzia bajeti hiyo. KUna taarifa kwamba atahusisha na kampeni za Dk. Slaa za uchaguzi wa mwaka 2010, lakini anapaswa kujibu kuwa mbona ahadi za Kikwete nazo hazijaingizwa kwenye bajeti ya Mkulo? hakuna ahadi za kujenga barabara kibao, kununua meli katika maziwa yote na mengi mengineyo hayamo katika bajeti ya Mkulo
 
Wanapaswa kuwajulisha wajeta wao maana hii ni wiki ya pili mfululizo wanatoa nakala siku ya alhamic. Leo nimeenda kununua gazet la Mwanahalisi na Raiamwema nikaambiwa Raiamwema linaanza kutoka kila alhamic, wakati kumbe hayo ni mabadiliko ya muda tu. I hope wanaelewa kuwa sio watu wengi wanaosoma Raiamwema wako facebook na hata wakiwa facebook wanaweza wasiwe wana-access page yao.
 
Hotuba ya Zito ilikuwa hapa JF tangia jana, hivi walishindwa kuiweka au wanangojea ijadiliwe bungeni?
 
Back
Top Bottom