Elections 2010 Gazeti la RAI linatia kichefuchefu

Hongasuta

Member
Sep 10, 2006
81
14
Gazeti la RAI toleo la leo limejaa makala za kuiponda Chadema na mgombea wake wa urais, na upande mwingine kuifagilia CCM na mgombea wake.

Ni rahisi sana ku-confuse gazeti hili na UHURU au MZALENDO, magazeti ya CCM. Nini kimelisibu gazeti hili pamoja na MTANZANIA? Au ni hofu ya mmiliki wake ROSTAM AZIZ kuwa iwapo mzalendo Dk SLAA ataingia madarakani basi safari yake yake ya kurejea kwao Iran itakuwa imewadia?

Huyu anatuhuma nyingi za kutisha ambazo swahiba wake KIKWETE amekuwa akizifumbia macho. Ni wazi kuwa anawaagiza wanahabari wake kukiuka maadili na kuwa chombo cha propaganda cha CCM badala ya kuwa fair katika kuripoti habari za uchaguzi.

Lakini ethics zinataka chombo cha namna hii kutangaza wazi kwamba kinamuunga mkono mgombea fulani ili wasomaji watambue wanasoma gazeti la aina fulani, badala ya kuwaacha wasomaji wadhanie kwamba ni gazeti huru. Kwa kweli RAI na MTANZANIA yanatia kichefuchefu.
 
:A S-danger::lol:
Gazeti la RAI toleo la leo limejaa makala za kuiponda Chadema na mgombea wake, na upande mwingine kuifagilia CCM na mgombea wake. Ni rahisi sana ku-confuse gazeti hili na UHURU au MZALENDO, magazeti ya CCM. Nini kimelisibu gazeti hili pamoja na MTANZANIA? Au ni hofu ya mmiliki wake ROSTAM AZIZ kuwa iwapo mzalendo Dk SLAA ataingia madarakani basi safari yake yake ya kurejea kwao Iran itakuwa imewadia? Huyu anatuhuma nyingi za kutisha ambazo swahiba wake KIKWETE amekuwa akizifumbia macho. Ni wazi kuwa anawaagiza wanahabari wake kukiuka maadili na kuwa chombo cha propaganda cha CCM badala ya kuwa fair katika kuripoti habari za uchaguzi. Lakini ethics zinataka chombo cha namna hii kutangaza wazi kwamba kinamuunga mkono mgombea fulani ili wasomaji watambue wanasoma gazeti la aina fulani, badala ya kuwaacha wasomaji wadhanie kwamba ni gazeti huru. Kwa kweli RAI na MTANZANIA yanatia kichefuchefu.
 
La rostam hilo na linatumika kama jukwaa la kuwapofua wa tz. Jamani ipo kazi kubwa!



The mind is like a parachute. It doesn't work unless it's open.
 
Hatushangai kwasababu wafanyakazi wake wanajikomba kwa mmiliki wa gazeti si unajua tena
umbumbu kichwani hata wajibu wako kikazi unakuwa hujui. Uzuri yanafahamika kwa wananchi kuwa
habari zake zake zimelemea upande flani na kamwe hawazungumzi ukweli.
 
jamani Rai ni la Rostam hilo, kwa hiyo hapo jibu lipo wazi kabisa.Swali ni kwa hao waandishi wa Rai, je wanayafahamu maadili ya uandishi wa habari ama la? na kama wanayafahamu, kwa nini wapo radhi kuyatupa pembeni kwa ajili ya manufaa ya mmiliki wake na wahiba zake?
kama wewe ni muandishi wa habari muadilifu huwezi kuambiwa andika hiki na wewe ukaandika tu.
 
the only way FISADI they can survive in Tanzania is by CCM remaining in power...kwa hiyo usishangae
 
Jamani achaneni na gazeti la Rai munawapa ujiko usio na maana,kwa kweli watanzania wameeamka na hilo gazeti linazalishwa kwa kiwango cha chini sana kwa sababu linasomwa kwa kiwango kidogo mno kama ilivyo kwa uhuru na mzalendo wafanyakazi habari cooparation wanapata mishahara kwa misimu sasa hivi -waache wajitundike wenyewe
 
wanachapisha nakala 300 tu na nyingi zinarudi, nawashangaa sana waandishi wa NHCL mishahara wanapokea tarhe 39 hadi 47 ila hawaachi mambo yao ya ukanjanja. pum.... zao.
 
nawashangaa sana watu wanaoshabikia ufisadi kwa vijisenti wanavyopewa kidogo.Hawa jamaa watakapokuwa wanachukua na kuchota pesa hata hawa waandishi mnaopigia debe mafisadi mtakaangwa tu na hali mbaya ya uchumi itakayokuwepo.
ENYI WAANDISHI WA RAI NA MTANZANIA AMKENI!!!!!!!!!!!!!!!Huyu jamaa anawapa kichupa akiwadanganya ni dhahabu na ninyi mnampa dhahabu halafu mnajisifu.
Eeee Mungu uwasamehe,hawa wanaouza maisha ya wenzao kwa vipande thelathini vya fisadi.Hawa jamaa hawana tofauti na Yuda Iskariote aliyemkana YESU ila kilichompata ni kujinyonga,hali kadhalika na ninyi mnaodanganywa na vijisenti mtajinyonga wenyewe.
 
Alhamisi iliyopita nilituma mtoto akaniletee Raia Mwema lakini muuzaji akamdanganya mtoto na kumuuzia Rai kwani Raia mwema lilikuwa limeisha, ahh nikaona basi makosa ni yangu kwani nilichelewa kulinunua, basi kila nilipotaka kusoma page za ndani nasikia kizunguzungu na kutaka kudondoka, mara kichefuchefu naliacha, basi mpaka leo lipolipo tu pale nyumbani lakini pia kitu kimoja nilichogundua ndani ya gazeti hilo kuna waandishi wachache wanaongea point ambazo ni neutral kabisa na makini lakini wamefichwa page za ndani kabisa
 
Acheni UNAFKI jamani. Mbona hamsemi kama gazeti la Tanzania Daima linawatia kichefuchefu na mnajua wazi nani ni owner wa gazeti hilo. Kama Rai linakutia kichefuchefu, na unajua owner wake ni RA then why don't you stick to Tanzania Daima ili usome habari zinazokusuuza roho.

For starters, kama ni mshabiki wa CCM usisome Tanzania Daima. Na kama ni mshabiki wa Chadema usisome RAI na magazeti ya serikali. Unless umepevuka kimawazo na unaweza kusoma hoja za watu usiokubaliana nao bila kupata kichefuchefu.
 
Gazeti la RAI toleo la leo limejaa makala za kuiponda Chadema na mgombea wake wa urais, na upande mwingine kuifagilia CCM na mgombea wake.

Ni rahisi sana ku-confuse gazeti hili na UHURU au MZALENDO, magazeti ya CCM. Nini kimelisibu gazeti hili pamoja na MTANZANIA? Au ni hofu ya mmiliki wake ROSTAM AZIZ kuwa iwapo mzalendo Dk SLAA ataingia madarakani basi safari yake yake ya kurejea kwao Iran itakuwa imewadia?

Huyu anatuhuma nyingi za kutisha ambazo swahiba wake KIKWETE amekuwa akizifumbia macho. Ni wazi kuwa anawaagiza wanahabari wake kukiuka maadili na kuwa chombo cha propaganda cha CCM badala ya kuwa fair katika kuripoti habari za uchaguzi.

Lakini ethics zinataka chombo cha namna hii kutangaza wazi kwamba kinamuunga mkono mgombea fulani ili wasomaji watambue wanasoma gazeti la aina fulani, badala ya kuwaacha wasomaji wadhanie kwamba ni gazeti huru. Kwa kweli RAI na MTANZANIA yanatia kichefuchefu.

Haliitwi RAI linaitwa MBIU YA MGAMBO ya kusaka panya
 
ninyi mnaolisoma ndio mnaumia
MIMI SINA HABARI NALO NA WALA SILITUPII MACHO NINAPOHISI LIPO KWENYE UBAO WA MAGAZETI.
dawa ni kuliwacha na kulisua life wabaki na news kwenye desktop zao maana wakiona haliuziki basi watageuza ofisi ukumbi wa mikutano na disko
 
Rostam anatapatapa, kinyesi kimemjaa anaogopa Dokta wa ukweli akiingia madarakani atamshughulikia yeye na mafisadi wenzake kwa hiyo anatumia rasilimali zake (Mtanzania, Rai na Channel Ten) kujinasua.
 
Rostam anatapatapa, kinyesi kimemjaa anaogopa Dokta wa ukweli akiingia madarakani atamshughulikia yeye na mafisadi wenzake kwa hiyo anatumia rasilimali zake (Mtanzania, Rai na Channel Ten) kujinasua.

ahhahaa hahhaa Ntemi usiseme hivyo bwana. Kama kingemjaa siangeinya.
 
ninyi mnaolisoma ndio mnaumia
MIMI SINA HABARI NALO NA WALA SILITUPII MACHO NINAPOHISI LIPO KWENYE UBAO WA MAGAZETI.
dawa ni kuliwacha na kulisua life wabaki na news kwenye desktop zao maana wakiona haliuziki basi watageuza ofisi ukumbi wa mikutano na disko

Harafu wanahabari wanaofanya kazi na hao jamaa siwaache maana wanajizalilisha. kwa kweli huwa hata silitupiiii macho hilo gazeti
 
ninasema jambo moja kwa dhati.
waandishi walio wengi hapa Tanzania ni sawa na wanawake malaya wa pale uwanja wa fisi , wanadanganyika kirahisi, wanatumika kama Kondom, mtu akimaliza mahitaji yake , anaishika kwa toillet Paper hataki hata kukusana nayo.
wajidhalilishe mara ngapi, wamedhalilika mwaka 2005, wanaendelea Kulidhalilisha hii 2010, na mwaka 2015 , wanaweza kuleta hatari zaidi.
nikiri wazi wapo waandishi ambao nawaheshimu , wapo wa Uhuru na Mzalendo pia.
lakini hawa wanaotumika na mafisadi wanaakili kama za kwelea kwelea, ukifika msimu wa uchaguzi kwao ni sawa na vuna vuna time.
wako Kina mwanakijiji , wako kina Ngurumo, wamebaki kuwa na misimamo isiyoyumba kwa kipindi sasa.
ni heri usome Uhuru na Mzalendo kuliko magazeti ya New Habari coop na Habari leo.
Habari leo ndilo kinyaa zaidi kwasababu ni gazeti la UMMA, limegeuka kuwa gazeti la kipuuzi zaidi.
Duniani kote vyombo vya Umma hupewa heshima,kwasababu ya kujiheshimu. lakini si hawa wapuuzi wa Tanzania Standard News Paper . kundi la mavuvuzela.
 
Acheni UNAFKI jamani. Mbona hamsemi kama gazeti la Tanzania Daima linawatia kichefuchefu na mnajua wazi nani ni owner wa gazeti hilo. Kama Rai linakutia kichefuchefu, na unajua owner wake ni RA then why don't you stick to Tanzania Daima ili usome habari zinazokusuuza roho.

For starters, kama ni mshabiki wa CCM usisome Tanzania Daima. Na kama ni mshabiki wa Chadema usisome RAI na magazeti ya serikali. Unless umepevuka kimawazo na unaweza kusoma hoja za watu usiokubaliana nao bila kupata kichefuchefu.

Tanzania Daima linatoa taarifa za pande zote bila kupendelea. Angalia gazeti la leo, utaona picha nyingi tu za mikutano ya kampeni za CCM. Thubutu uone picha hizo kwenye Mtanzania, Rai na Uhuru!

Acha ushabiki!
 
Back
Top Bottom