VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Sasa kama tunaanza kupigana Changa la macho wenyewe kwa wenyewe Tuondako JF Siko.......
Gazeti la Rai limekusanywa leo na halipatikani kabisa. Taarifa tulizonazo zinaeleza kuwa lilikuwa na habari inayoonyesha kuwa Beno Malissa na Ridhwan Kikwete wanaandaa mapinduzi ya kumng'oa Katibu wa UVCCM Martine Shigella. Taarifa za ndani kutoka Habari Cooperation zinaeleza kuwa habari hiyo iliwanukuu wenyeviti 17 wa UVCCM mikoa ambao walikuwa wakipingana na harakati hizo. Tena inaelezwa kuwa Usalama wa Taifa wamepewa jukumu la kuhakikisha gazeti hilo haliingii mtaani. Wenye taarifa zaidi mnaweza kuendelea ikiwemo kutupa habari iliyosababisha gazeti kukusanywa.
Mimi nimelitafuta tangu jana sikulipata.
Kama ni hivyo tunaomba mutufanyie scanning na sisi tupate kuona ni kitu gani kimeandikwa. Au Generali afanye sacrifice kidogo alipost kwenye web.
rai sio la generali wewe!!!!!!!!
usiwashushie heshima wikileaksGazeti la Rai limekusanywa leo na halipatikani kabisa. Taarifa tulizonazo zinaeleza kuwa lilikuwa na habari inayoonyesha kuwa Beno Malissa na Ridhwan Kikwete wanaandaa mapinduzi ya kumng'oa Katibu wa UVCCM Martine Shigella. Taarifa za ndani kutoka Habari Cooperation zinaeleza kuwa habari hiyo iliwanukuu wenyeviti 17 wa UVCCM mikoa ambao walikuwa wakipingana na harakati hizo. Tena inaelezwa kuwa Usalama wa Taifa wamepewa jukumu la kuhakikisha gazeti hilo haliingii mtaani. Wenye taarifa zaidi mnaweza kuendelea ikiwemo kutupa habari iliyosababisha gazeti kukusanywa.
Acheni kuchakachua maneno/majina.
Ni Raia Mwema ndilo limekuwa adimu.
Rai? Hii toilet paper iko tele kwa newspaper vendors.
Wana Jf naomba nichangie hapa. Taarifa za uhakika ni kwamba Gazeti ni RAI ni kweli limekusanywa na Mikoani ma Agent wote wamezuiliwa wasiliuze inasemekana ni AMRI wahusika wa kuu ni IDARA inasema kwamba kwa muda Mrefu magazeti ya New Habari yamekua ni chombo pekee kinacho wasaidia CCM na serekali,lakini tangu mwezi November kumekua na Mabadiliko makubwa.
Nimeongea na mtu ndani ya New Habari amesema ni kweli Gazeti lao limekusanywa leo na mikoani wamezuiwa kuliuza,kisa limeandika habari inayohusu MGOGORO WA UVCCM ambao umeanzia pale makao makuu ya jumuiya hiyo.
Kwahiyo wana JF story yenyewe ina Headline inayosema MGOGORO MKUBWA UVCCM na imeelezea mpango unaendeshwa na vigogo wa jumuiya hiyo kumuondoa katibu mkuu wa UVCCM kisa anapingana na simba mtoto.
Acheni kuchakachua maneno/majina.
Ni Raia Mwema ndilo limekuwa adimu.
Rai? Hii toilet paper iko tele kwa newspaper vendors.
RAI ninalo hapa,habari yenewe iko front page yenye heading "MGOGORO MZITO UVCCM" lakini hakuna anapotajwa Ridhwani,ila waliotajwa ni Malisa na Shigela.
Hata kama kuna watu hawalinunui lakini linaandika habari na huwa zinafanyiwa kazi,nakumbuka zile habari za Mkuu wa KKT zilivyofanyiwa kazi,pia lilmbomoa sana Dr.Slaa wakati wa kampeni