H1N1
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 4,217
- 1,579
Nimesikia this morning kwenye briefing ya Magazeti kwamba serikali ya Malawi inayoongozwa na Mwanamke Joyce Banda imeufyata na kuondoa ndege zote zilizokuwa zinafanya utafiti wa mafuta kwenye Ziwa Nyasa!
Sina hakika kama kweli iko vile. Hata kama Mwanamke Joyce Banda hajafanya hivo,inabidi awaite Mawaziiri wake na hasa yule wa Ulinzi amwambie kuwa swala la kuondoa hizo ndege halina mjadala. Kucheza na mpaka wa Tanzania ni kujitakia matatizo makubwa kwa nchi yao ya Malawi!
Pengine tu napenda nimkumbushe Mama Joyce Banda na Waziri wake wa Ulinzi kuwa Tanzania tulipigana vita mwaka 1978/9 na nchi ya Uganda ikiongozwa na Nduli Iddi Amin baada ya kuvamia mipaka yetu. Yaliyotokea ni history. Kama Mama Joyce Banda anataka yamkute yaliyomkuta Idd Amin Dadaa basi Malawi waendelee na kucheza na mpaka wetu ndani ya Ziwa Nyasa. Tutapiga mpaka Ikulu baada ya kusambaratisha Jeshi lake.
Haya ndiyo matatizo ya kuongozwa na mijike inayofikiri kwa kutumia k****! Inasikitisha sana mwanamke anapotaka kuleta sijui maswala ya Beijing ya gender issues,gender equality na upuuzi mwingine kama huo. Mwanamke always hataweza kumpita au kuwa sawa na Mwanamme jamani. Ni maumbile ambayo The God Almighty ameweka, ni kanuni za Mungu ambazo huwezi kuzivunja hata iweje!
Kwa hiyo Mama Joyce Banda asitake kujipima nguvu na Wanaume ataishia pabaya na mwisho wake kama mwanamke itakuwa ni ku***** tu,basi!
Hoja zako ni dhaifu sana lakini zina nguvu sana. kuwa mwangalifu,usiandike kila unachofikiri. HATA WANAWAKE WANASTAHILI HESHIMA SAWA NA WANAUME, ni kweli Rais anaweza kuwa na matatizo yake binafsi mengine hayasababishwi na JINSI yake,tuwe waungwana tuwaheshimu Wamalawi na Rais wao hata kama ni mwanamke.