BondJamesBond
Member
- Jul 6, 2011
- 85
- 60
Kuna JF member ambaye juzi alipatwa na munkari wa UZALENDO kiasi cha kutoa proposal hapa JF kuwa members wamtumie PM ali awape codes za kumwaga kwenye websites za serikali ya Malawi ili tuwaonyeshe kuwa tunaweza kushut down infrastructure zao etc kwa kutumia kitu kinachoitwa denial-of-service attack (DoS attack)
Naona kwenye toleo lao la online wamelalamika kuwa online vigilantes (yaani JF members) wanatishia usalama na amani ya nchi yao kwa kutoa matamshi ya kuanzisha CYBER WAR
Wameendelea kudai kuwa JF imejaa watu ambao hawaishi kumtukana rais wao matusi ya nguoni. Na pia wanasema kuwa wengine wamefikia point ya kudai kuwa wanayo majina na intelligence officers wa Malawi Tanzania.
Thread jana iliondolewa lakini hivi kweli hawa jamaa wanagwaya kwa mikwara ya JF?
Seriously?
Kama kweli nawavulia kofia wazalendo. Mwendo mdundo.
Naona kwenye toleo lao la online wamelalamika kuwa online vigilantes (yaani JF members) wanatishia usalama na amani ya nchi yao kwa kutoa matamshi ya kuanzisha CYBER WAR
Wameendelea kudai kuwa JF imejaa watu ambao hawaishi kumtukana rais wao matusi ya nguoni. Na pia wanasema kuwa wengine wamefikia point ya kudai kuwa wanayo majina na intelligence officers wa Malawi Tanzania.
Thread jana iliondolewa lakini hivi kweli hawa jamaa wanagwaya kwa mikwara ya JF?
Seriously?
Kama kweli nawavulia kofia wazalendo. Mwendo mdundo.