mwananchi wako fairMwanainchi ni gazeti moja tu hapa Tz linaloripoti ukweli bila kulalia upande wowote likifuatiwa na Tanzania Daima
Ukweli ni kwamba Mwananchi hawafagilii serekali ya CCM kwa hio ni gazeti yenye coverage nzuri mno sema wanafocus sana sana kuwafumania CCM. Ni gazeti nzuri. Lakini kama unataka ambayo inaandika bila kubagua, soma Majira.ndugu zangu, naombeni maoni yenu kuhusu gazeti, la mwananchi kama linalipoti sawa kuhusu habari za siasa bila kubase chama cha mapinduzi, kama HABARI LEO, MTANZANIA na mengine mengi, ambayo ni magazeti ya MAFISADI
Majira imepotea online, sijaisoma muda sasa! Kama kuna mwenye kunijuza anijuze tafadhali. Nilikuwa nawapata zamani www.majira.co.tz au www.bctimes.co.tz ( au ni BcTimes.com | Bc Times | Newspaper | Daily Local Newspaper | High School Football nimeshasahau!)