ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi leo, picha inawaonyesha wananchi wakiwa wameuchapa usingizi kwenye mkutano wa kampeni wa ccm, unaohutubiwa na Dk. Bilal, huko Tunduru... duh watu washachoka kabla hata kazi haijaanza!
Mkuu kuna Jukwaa la WageniHallow Jamii forum !
Wale "wamepelekwa" mkutanoni, wakati wale wa CHADEMA huwa wanaenda mkutanoni....
Hawa wananchi wanaitaji semina ya nguvu maana wanaonekana hawapo serious na nchi yao.