SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Katika toleo la Leo la mwananchi kuna kichwa cha habari Dr Slaa ametaja mafisadi wapya ila ukisoma habari yenyewe hakuna ata jina la hao mafisadi ila ni longo longo nyingi.
My take;
Kwa muhariri wa gazeti hili la mwananchi huu ni wakati wa uwazi na ukweli kama nyie mtabana tutapata habari kupitia vyombo vingine kwani hapa JF mbona wanayo majina na pia magazeti mengineo iweje nyie mpotoshe jamii kwa kusema Dr Slaa hakutaja majina?
Nawasilisha
My take;
Kwa muhariri wa gazeti hili la mwananchi huu ni wakati wa uwazi na ukweli kama nyie mtabana tutapata habari kupitia vyombo vingine kwani hapa JF mbona wanayo majina na pia magazeti mengineo iweje nyie mpotoshe jamii kwa kusema Dr Slaa hakutaja majina?
Nawasilisha