Wadau mwenye data naomba anifahamishe,nimefuatilia siku za hiv karibuni gazeti pendwa la Mwananchi wanaludia ludia zile katuni za Kingo na siku nyingine hakuna kabisa,vp mkataba na mshkaji ndio umeisha au jamaa amekosa ubunifu tena?mwneye data tafadhari wengine sisi ni wadau wa Kingo.