William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Nakubaliana na wew kabisa. Wakati wa uchaguzi inatia shaka, je kuna wakati maalum wa kuyafungia? Halafu uchaguzi unaanza lini hadi sasa hivi uwe wakati wa uchaguzi? Kisingizio cha uchaguzi ndio iwe sababu ya uvunjunjaji wa sheria? Mwanahalisi ilikuwa wakati wa uchaguzi? Nadhani hoja iwe kwenye sheria na namna ambavyo hawa jamaa walivyoitwa kujitetea na wengine wakagoma kutoa ushirikiano.
1.
FMEs!
- However: Ni vyema tukajua sheria inasema nini kuhusu sources za habari za magazeti yetu inasema nini? Maana ninakumbuka ile kesi ya TIMEs kule US, ambapo muandishi aliishia jela kwa kukataa kusema source yake, ingawa mwishowe aliishia kuisema na kuachiwa jela, hapa kwa maoni yangu linakuwa ni tatizo la interpretation ya sheria zaidi kuliko siasa.
2.
- FMEs
Tatizo hapa na nitaliweka in a speculation manner linaweza kuwa the timing ya hizi adhabu, katika kuelekea kwenye uchaguzi na hasa baada ya onyo la Rais kule Mwanza kuhusu magazeti yetu, hilo linatia wasi wasi sana na timing hapa.
- Mkuu ungesoma vizuri haya maelezo yangu kwenye hizi two quotes, kwanza kama unavyokubali nimesema hapa kuna tatizo la sheria zaidi kuliko siasa,
- La timing na uchaguzi nimesema ninaliweka katika speculation manner na sio as a fact of the matter, inaonekana hukunielewa, ingawa ukweli hapo juu kwenye qoutes unajisema wenyewe!
Respect.
FMEs!