Gazeti la Jambo Leo... Vituko vitupu!

Kwa mtazamo wangu hii thread ya huyu jamaa imekaa kichuki-chuki,unajua mpaka uanze kusema ooo fulani darasa la saba,oo amebakis kuwa mwakilishi wa kitongozi sababu sio mbunifu,mmhh napata mashaka nahisi kama vile una bifu na huyo jamaa,nionavyo its better mkasolve mambo yenu nje ya jukwaa hili ili msitupe faida afterall kwani mtu kuwa mpiga picha au mhariri anatakiwa awe na level gani ya elimu? Naona kama vile umemdhalilisha sana jamaa,narudia tena kama mna tofauti zenu kazimalizieni nje ya jukwaa hili na kama kuna mtu amekutuma um-ponde huyo sijui Benny Kisaka anakutumia so kuwa mwangalifu.
 
Kwa mtizamo wa mawani ya mbao
kuna bifu kati ya wawili hawa.Mbona magazeti yako mengi yenye kuboroga?
Usituchoshe kwa pumba zako!!!!!!!!
 
Haya magazeti sasa yamekuwa mengi mno. Kwa nini serikali yetu inaruhusu usajili wa magazeti mengi kiasi hiki. Magazeti mengine hayana mbele wala nyuma.

Tuache yafunguliwe ili tupate ajira, bado tunahitaji magazeti,Redio,TV n.k
 
wakuu jf si mahala pa malumbano ya vyombo vya habari sijui vya mengi, rostam au wasio na uzoefu nk. Anyway, inawezekana members wengi ni wanahabari lakini tuachane na habari zisizo na tija (let say hilo gazeti la jambo leo limefanya jambo gani baya kwa jamii?). Tuachane na hii tuendelee kukata mambo ya maana.
mkuu hakuna malumbano ya mengi na rostam hapa.
 
unajua gt jambo usilolijua ni kama usiku wa giza hoja gazeti limeharibu? nini hata kama limeanzishwa kwa ajili ya uchaguzi cha muhimu linafuata sheria za habari pili we hujui jinsi waandishi wanavyonyanyasika katika media its high time kwa wao kujikusanya na kujaribu kumiliki vyombo vyao kila siku kazi za watu hawana wema hawajali we hujui, kama na wao wanahitaji maisha bora furaha yao ni kuona viatu vinaisha na hii ndio njia pekee itakayofanya waandishi wa bongo wasiwe watu wa takrima kwani vijimshahara vyao wamiliki wa vyombo vya habari viduchu havitoshi kukidhi maisha bora,mtoto wa mpiganaji akiwa na maisha mabovu mwisho wa siku baba ake ni kusutwa alikuwa kimbelembele kuandika vya wenzake yeye hata familia imemshinda!!ndivyo walivyo wabongo waachee kabisa wakina beni uwatue watoto wa watu kesho kitenge gamba wakionekana kwa daladala mtasema umaarufu tu hawana kitu waangalie na ndio maana kama una habari sasa hivi waandishi wengi wako shule wakilamba nnondozzz za digrii hamjiulizi gondwe yuko wapi? tafuta upate habari yake za wengine na kuhakiakishia waandishi wengi tu watamiliaki magazeti kama vile wakinaulimwengu tatizo mitaji lakini kwa njia ya kuungana iko siku na redio watamiliki nini gazeti leo tunaringia michuzi we unafikiri kafanya kazi ndogo kutoka anamiliki kile anacho utaalamu wake,achaa maneno yako kama huna la kusema au hoja, leta hapa kwenye jf hoja sio udaku udaku uwendanae na hoja chunguza au mwite beni akwambie whats going on katika media usibwate hakuna maisha hayo watalihangaiakia taifa hili pasipo lolote uliza media za wenzetu huko europe maisha yao sio hapa bongo na iko siku waandishi wenye mdeia za itakuwa kazi kuwapata kwani hata sasa kwa taarifa yako ni wachache wenye uwezo wa hata huyo ben ambaye wewe unadai ni darasa la saba wengi ni bginars tu wanahitaji uzoefu toka kwa kina beni na wengineo we ulitaka mtu kama kumwebe kwa mfumo huu wa ajira za habari za hapa bongo afanyeje asipoandika sana afe njaa ana mtazamo wa baadaye ndugu wanaomtegemea sasa kijimshahara cha rostama kitamtosha nini aombe rushwa alafu mseme nini weee achaa bwana mambo ya media hujui kitu we roho inakuuma kusiki willy anaendesha mkoko ulitaka waeendeshe hao wakina lundenda we hujui hiyo miss tanzania inasurvive kwa media na ndio maana kuna wakati aliwapa uwakala waandishi kibao imemfanya anko kuwepo mjini kwa kalamu zao tu, ikiikaliawa kooni na waandshi ahiwezi kufika mbali wengi tu watu wa hapa town wamefakinikiwa kupitia wandisshi ila hawana shukrani wala nidhamu juu ya waandishi na hilo linapaswa walitambue kwani wanatumika sana sas ani wakati wa kuacha habari za promosheni na kuandika zaidi habari za matangaza ambazo itabidi wakalipie kaa matangazo!! itafika wakati huo ni kuandika habari za matatizo ya kijamii kaa na waandishi wakueleze ummuhimu wa media usiwe kama yule jamaa aliyetukana waanshi akidaia alina Lizi khan wa Cnn ndio bora kwake wakati jamaa hajui kama leo hii tarime watu kwa nini wanachinjana kila siku. achaa kabisa
 
unajua gt jambo usilolijua ni kama usiku wa giza hoja gazeti limeharibu? nini hata kama limeanzishwa kwa ajili ya uchaguzi cha muhimu linafuata sheria za habari pili we hujui jinsi waandishi wanavyonyanyasika katika media its high time kwa wao kujikusanya na kujaribu kumiliki vyombo vyao kila siku kazi za watu hawana wema hawajali we hujui, kama na wao wanahitaji maisha bora furaha yao ni kuona viatu vinaisha na hii ndio njia pekee itakayofanya waandishi wa bongo wasiwe watu wa takrima kwani vijimshahara vyao wamiliki wa vyombo vya habari viduchu havitoshi kukidhi maisha bora,mtoto wa mpiganaji akiwa na maisha mabovu mwisho wa siku baba ake ni kusutwa alikuwa kimbelembele kuandika vya wenzake yeye hata familia imemshinda!!ndivyo walivyo wabongo waachee kabisa wakina beni uwatue watoto wa watu kesho kitenge gamba wakionekana kwa daladala mtasema umaarufu tu hawana kitu waangalie na ndio maana kama una habari sasa hivi waandishi wengi wako shule wakilamba nnondozzz za digrii hamjiulizi gondwe yuko wapi? tafuta upate habari yake za wengine na kuhakiakishia waandishi wengi tu watamiliaki magazeti kama vile wakinaulimwengu tatizo mitaji lakini kwa njia ya kuungana iko siku na redio watamiliki nini gazeti leo tunaringia michuzi we unafikiri kafanya kazi ndogo kutoka anamiliki kile anacho utaalamu wake,achaa maneno yako kama huna la kusema au hoja, leta hapa kwenye jf hoja sio udaku udaku uwendanae na hoja chunguza au mwite beni akwambie whats going on katika media usibwate hakuna maisha hayo watalihangaiakia taifa hili pasipo lolote uliza media za wenzetu huko europe maisha yao sio hapa bongo na iko siku waandishi wenye mdeia za itakuwa kazi kuwapata kwani hata sasa kwa taarifa yako ni wachache wenye uwezo wa hata huyo ben ambaye wewe unadai ni darasa la saba wengi ni bginars tu wanahitaji uzoefu toka kwa kina beni na wengineo we ulitaka mtu kama kumwebe kwa mfumo huu wa ajira za habari za hapa bongo afanyeje asipoandika sana afe njaa ana mtazamo wa baadaye ndugu wanaomtegemea sasa kijimshahara cha rostama kitamtosha nini aombe rushwa alafu mseme nini weee achaa bwana mambo ya media hujui kitu we roho inakuuma kusiki willy anaendesha mkoko ulitaka waeendeshe hao wakina lundenda we hujui hiyo miss tanzania inasurvive kwa media na ndio maana kuna wakati aliwapa uwakala waandishi kibao imemfanya anko kuwepo mjini kwa kalamu zao tu, ikiikaliawa kooni na waandshi ahiwezi kufika mbali wengi tu watu wa hapa town wamefakinikiwa kupitia wandisshi ila hawana shukrani wala nidhamu juu ya waandishi na hilo linapaswa walitambue kwani wanatumika sana sas ani wakati wa kuacha habari za promosheni na kuandika zaidi habari za matangaza ambazo itabidi wakalipie kaa matangazo!! itafika wakati huo ni kuandika habari za matatizo ya kijamii kaa na waandishi wakueleze ummuhimu wa media usiwe kama yule jamaa aliyetukana waanshi akidaia alina Lizi khan wa Cnn ndio bora kwake wakati jamaa hajui kama leo hii tarime watu kwa nini wanachinjana kila siku. achaa kabisa

Pinto njoo kwa style nyingine hii style yako ya e-mail Chelsea iko pale pale

sasa hata kuweka spacing tatizo kwenu? but then again hawa ndio watu wa Jambo Leo

By the way ni RIZ KHAN na siyo LIZI KHAN....na hayupo CNN yupo AL JAZEERA huu mwaka wa tatu na

Halafu hawa ndio washauri wa Ridhwani

bogus kabisa...mara nyngi watu wanakujudge kwa rafiki na kundi unaloji associate nao

then tunalalamika ohhh waswahili wa Pwani tunaachwa...of course mijitu ya bara shurti ituache ati! kama tunaanzisha gazeti halafu tunawapa nafazi nzito watu wa Darasa la saba then something is wrong with us na si conspiracy
 
unajua gt jambo usilolijua ni kama usiku wa giza hoja gazeti limeharibu? nini hata kama limeanzishwa kwa ajili ya uchaguzi cha muhimu linafuata sheria za habari pili we hujui jinsi waandishi wanavyonyanyasika katika media its high time kwa wao kujikusanya na kujaribu kumiliki vyombo vyao kila siku kazi za watu hawana wema hawajali we hujui, kama na wao wanahitaji maisha bora furaha yao ni kuona viatu vinaisha na hii ndio njia pekee itakayofanya waandishi wa bongo wasiwe watu wa takrima kwani vijimshahara vyao wamiliki wa vyombo vya habari viduchu havitoshi kukidhi maisha bora,mtoto wa mpiganaji akiwa na maisha mabovu mwisho wa siku baba ake ni kusutwa alikuwa kimbelembele kuandika vya wenzake yeye hata familia imemshinda!!ndivyo walivyo wabongo waachee kabisa wakina beni uwatue watoto wa watu kesho kitenge gamba wakionekana kwa daladala mtasema umaarufu tu hawana kitu waangalie na ndio maana kama una habari sasa hivi waandishi wengi wako shule wakilamba nnondozzz za digrii hamjiulizi gondwe yuko wapi? tafuta upate habari yake za wengine na kuhakiakishia waandishi wengi tu watamiliaki magazeti kama vile wakinaulimwengu tatizo mitaji lakini kwa njia ya kuungana iko siku na redio watamiliki nini gazeti leo tunaringia michuzi we unafikiri kafanya kazi ndogo kutoka anamiliki kile anacho utaalamu wake,achaa maneno yako kama huna la kusema au hoja, leta hapa kwenye jf hoja sio udaku udaku uwendanae na hoja chunguza au mwite beni akwambie whats going on katika media usibwate hakuna maisha hayo watalihangaiakia taifa hili pasipo lolote uliza media za wenzetu huko europe maisha yao sio hapa bongo na iko siku waandishi wenye mdeia za itakuwa kazi kuwapata kwani hata sasa kwa taarifa yako ni wachache wenye uwezo wa hata huyo ben ambaye wewe unadai ni darasa la saba wengi ni bginars tu wanahitaji uzoefu toka kwa kina beni na wengineo we ulitaka mtu kama kumwebe kwa mfumo huu wa ajira za habari za hapa bongo afanyeje asipoandika sana afe njaa ana mtazamo wa baadaye ndugu wanaomtegemea sasa kijimshahara cha rostama kitamtosha nini aombe rushwa alafu mseme nini weee achaa bwana mambo ya media hujui kitu we roho inakuuma kusiki willy anaendesha mkoko ulitaka waeendeshe hao wakina lundenda we hujui hiyo miss tanzania inasurvive kwa media na ndio maana kuna wakati aliwapa uwakala waandishi kibao imemfanya anko kuwepo mjini kwa kalamu zao tu, ikiikaliawa kooni na waandshi ahiwezi kufika mbali wengi tu watu wa hapa town wamefakinikiwa kupitia wandisshi ila hawana shukrani wala nidhamu juu ya waandishi na hilo linapaswa walitambue kwani wanatumika sana sas ani wakati wa kuacha habari za promosheni na kuandika zaidi habari za matangaza ambazo itabidi wakalipie kaa matangazo!! itafika wakati huo ni kuandika habari za matatizo ya kijamii kaa na waandishi wakueleze ummuhimu wa media usiwe kama yule jamaa aliyetukana waanshi akidaia alina Lizi khan wa Cnn ndio bora kwake wakati jamaa hajui kama leo hii tarime watu kwa nini wanachinjana kila siku. achaa kabisa

Hivi huyu jamaa anaweza kudai kuwa ni mwandishi? hana paragraph,koma,nukta,kwenye jina la mtu hana herufi kubwa huyu ni Benny KISAKA hata kama ni darasa la saba huwezi kuandika makosa mengi kiasi hiki, fani imevamiwa kama hawezi kuandika ataweza kufuata maadili ya kazi?

wenye gazeti hili wanahitaji kutizama timu ya kufanya nao kazi. kwenye Riz Khan na Cnn kuna makosa mawili la kwanza kakosea jina na la pili hajui chombo gani anachofanyia kazi jee tukimuuliza ana vipindi gani na mara ngapi kwa wiki?,sawa na Tenga wa TFF aseme Ronaldo alikuwa anachezea Chelsea badala ya Manchester.

hata mtililiko wa habari hana,Lundenda badala ya Lundenga.Benny rudi shule hata darasa la tatu hawezi kuandika hivi. mhariri wa gazeti hili ana kazi kubwa.
 
Last edited:
unajua gt jambo usilolijua ni kama usiku wa giza hoja gazeti limeharibu? nini hata kama limeanzishwa kwa ajili ya uchaguzi cha muhimu linafuata sheria za habari pili we hujui jinsi waandishi wanavyonyanyasika katika media its high time kwa wao kujikusanya na kujaribu kumiliki vyombo vyao kila siku kazi za watu hawana wema hawajali we hujui, kama na wao wanahitaji maisha bora furaha yao ni kuona viatu vinaisha na hii ndio njia pekee itakayofanya waandishi wa bongo wasiwe watu wa takrima kwani vijimshahara vyao wamiliki wa vyombo vya habari viduchu havitoshi kukidhi maisha bora,mtoto wa mpiganaji akiwa na maisha mabovu mwisho wa siku baba ake ni kusutwa alikuwa kimbelembele kuandika vya wenzake yeye hata familia imemshinda!!ndivyo walivyo wabongo waachee kabisa wakina beni uwatue watoto wa watu kesho kitenge gamba wakionekana kwa daladala mtasema umaarufu tu hawana kitu waangalie na ndio maana kama una habari sasa hivi waandishi wengi wako shule wakilamba nnondozzz za digrii hamjiulizi gondwe yuko wapi? tafuta upate habari yake za wengine na kuhakiakishia waandishi wengi tu watamiliaki magazeti kama vile wakinaulimwengu tatizo mitaji lakini kwa njia ya kuungana iko siku na redio watamiliki nini gazeti leo tunaringia michuzi we unafikiri kafanya kazi ndogo kutoka anamiliki kile anacho utaalamu wake,achaa maneno yako kama huna la kusema au hoja, leta hapa kwenye jf hoja sio udaku udaku uwendanae na hoja chunguza au mwite beni akwambie whats going on katika media usibwate hakuna maisha hayo watalihangaiakia taifa hili pasipo lolote uliza media za wenzetu huko europe maisha yao sio hapa bongo na iko siku waandishi wenye mdeia za itakuwa kazi kuwapata kwani hata sasa kwa taarifa yako ni wachache wenye uwezo wa hata huyo ben ambaye wewe unadai ni darasa la saba wengi ni bginars tu wanahitaji uzoefu toka kwa kina beni na wengineo we ulitaka mtu kama kumwebe kwa mfumo huu wa ajira za habari za hapa bongo afanyeje asipoandika sana afe njaa ana mtazamo wa baadaye ndugu wanaomtegemea sasa kijimshahara cha rostama kitamtosha nini aombe rushwa alafu mseme nini weee achaa bwana mambo ya media hujui kitu we roho inakuuma kusiki willy anaendesha mkoko ulitaka waeendeshe hao wakina lundenda we hujui hiyo miss tanzania inasurvive kwa media na ndio maana kuna wakati aliwapa uwakala waandishi kibao imemfanya anko kuwepo mjini kwa kalamu zao tu, ikiikaliawa kooni na waandshi ahiwezi kufika mbali wengi tu watu wa hapa town wamefakinikiwa kupitia wandisshi ila hawana shukrani wala nidhamu juu ya waandishi na hilo linapaswa walitambue kwani wanatumika sana sas ani wakati wa kuacha habari za promosheni na kuandika zaidi habari za matangaza ambazo itabidi wakalipie kaa matangazo!! itafika wakati huo ni kuandika habari za matatizo ya kijamii kaa na waandishi wakueleze ummuhimu wa media usiwe kama yule jamaa aliyetukana waanshi akidaia alina Lizi khan wa Cnn ndio bora kwake wakati jamaa hajui kama leo hii tarime watu kwa nini wanachinjana kila siku. achaa kabisa

Bob K
Leo umenivunja mbavu,narudia kukusoma kila dakika,kama hivi ndio waandishi mlivyo basi hapa JF tuna tanuri la waandishi makini ambao wanaweza kufanya kazi huko bila kumpa tabu mhariri.
sasa hii Bob K ndio kifupi cha Bob Kisaka?
 
Last edited:
Big up Benny,Big up Ridhiwani!!!!,Mkuu GT kwani mtu akifukuzwa sehemu moja asiajiriwe tena sehemu nyingine?,BIG up Benny na Ridhiwani tena kwa kucreate opputunities ambazo kaka na dada zetu wamepata ajira.
 
Big up Benny,Big up Ridhiwani!!!!,Mkuu GT kwani mtu akifukuzwa sehemu moja asiajiriwe tena sehemu nyingine?,BIG up Benny na Ridhiwani tena kwa kucreate opputunities ambazo kaka na dada zetu wamepata ajira.

kWA MSOMI KAMA RIDHWANI BASI?

AHHH MJOMBA...
 
unajua gt jambo usilolijua ni kama usiku wa giza hoja gazeti limeharibu? nini hata kama limeanzishwa kwa ajili ya uchaguzi cha muhimu linafuata sheria za habari pili we hujui jinsi waandishi wanavyonyanyasika katika media its high time kwa wao kujikusanya na kujaribu kumiliki vyombo vyao kila siku kazi za watu hawana wema hawajali we hujui, kama na wao wanahitaji maisha bora furaha yao ni kuona viatu vinaisha na hii ndio njia pekee itakayofanya waandishi wa bongo wasiwe watu wa takrima kwani vijimshahara vyao wamiliki wa vyombo vya habari viduchu havitoshi kukidhi maisha bora,mtoto wa mpiganaji akiwa na maisha mabovu mwisho wa siku baba ake ni kusutwa alikuwa kimbelembele kuandika vya wenzake yeye hata familia imemshinda!!ndivyo walivyo wabongo waachee kabisa wakina beni uwatue watoto wa watu kesho kitenge gamba wakionekana kwa daladala mtasema umaarufu tu hawana kitu waangalie na ndio maana kama una habari sasa hivi waandishi wengi wako shule wakilamba nnondozzz za digrii hamjiulizi gondwe yuko wapi? tafuta upate habari yake za wengine na kuhakiakishia waandishi wengi tu watamiliaki magazeti kama vile wakinaulimwengu tatizo mitaji lakini kwa njia ya kuungana iko siku na redio watamiliki nini gazeti leo tunaringia michuzi we unafikiri kafanya kazi ndogo kutoka anamiliki kile anacho utaalamu wake,achaa maneno yako kama huna la kusema au hoja, leta hapa kwenye jf hoja sio udaku udaku uwendanae na hoja chunguza au mwite beni akwambie whats going on katika media usibwate hakuna maisha hayo watalihangaiakia taifa hili pasipo lolote uliza media za wenzetu huko europe maisha yao sio hapa bongo na iko siku waandishi wenye mdeia za itakuwa kazi kuwapata kwani hata sasa kwa taarifa yako ni wachache wenye uwezo wa hata huyo ben ambaye wewe unadai ni darasa la saba wengi ni bginars tu wanahitaji uzoefu toka kwa kina beni na wengineo we ulitaka mtu kama kumwebe kwa mfumo huu wa ajira za habari za hapa bongo afanyeje asipoandika sana afe njaa ana mtazamo wa baadaye ndugu wanaomtegemea sasa kijimshahara cha rostama kitamtosha nini aombe rushwa alafu mseme nini weee achaa bwana mambo ya media hujui kitu we roho inakuuma kusiki willy anaendesha mkoko ulitaka waeendeshe hao wakina lundenda we hujui hiyo miss tanzania inasurvive kwa media na ndio maana kuna wakati aliwapa uwakala waandishi kibao imemfanya anko kuwepo mjini kwa kalamu zao tu, ikiikaliawa kooni na waandshi ahiwezi kufika mbali wengi tu watu wa hapa town wamefakinikiwa kupitia wandisshi ila hawana shukrani wala nidhamu juu ya waandishi na hilo linapaswa walitambue kwani wanatumika sana sas ani wakati wa kuacha habari za promosheni na kuandika zaidi habari za matangaza ambazo itabidi wakalipie kaa matangazo!! itafika wakati huo ni kuandika habari za matatizo ya kijamii kaa na waandishi wakueleze ummuhimu wa media usiwe kama yule jamaa aliyetukana waanshi akidaia alina Lizi khan wa Cnn ndio bora kwake wakati jamaa hajui kama leo hii tarime watu kwa nini wanachinjana kila siku. achaa kabisa


This is the longest paragraph I have ever read....................
 
Nina wasiwasi na hizi habari unazotuletea siku hizi mkuu, Benny Kisaka si darasa la 7 kama unavyodai.Nina uhakika na ninachoandika hata ukitaka nikutajie sekondari aliyosoma nitakutajia. Inanitia mashaka kuwa huenda na hizi habari zingine unazotuletea huenda nazo ni zakusikia, hujazifanyia uchunguzi wa kutosha.

Jamani tusimshambulie GT katika alichoongea hapa kuna mambo ya kujiuliza Moja Huyo mmiliki asieonekana ni nani?pia kwanini GT kaleta hoja ya ufisadi wa Wizara ya maliasili kuhusu alichoongea Zito abt Fungu la kuitangaza Sector ya utalii?

Wana Jf tusijibu vitu kwa ushabiki labda nianze kutoa mchango wangu kuhusu maswali hayo mawili.
A:abt mmiliki ni RIDHWAN JAKAYA MRISHO KIKWETE,mtoto wa Rais wa jamhuri ya muunganao.
B; Kuhusu ufisadi kwa yoyote alosoma gazeti la Tanzania Daima JPILI ilopita atakumbuka swala hili liliandikwa sasa nataka niwa fumbue macho na watu wakafanyie kazi,PESA zilizotumika kuanzisha Gazeti hili ni pesa zilizotokana na Fungu lilotengwa kwa ajili ya Promotion ya UTALII na dili hiyo alipewa PINTO na kuna ufisadi mkubwa nyuma ya project hiyo.

Wana jF tujiulize walipewaje mradi huo?na umetumia kiasi gani cha pesa?na je tukiangalia swala la mama ana mkapa kufanya biashara akiwa mke wa rais je mtoto wa Rais anapoanza kufanya biashara kuna tatizo ama hakuna?na mkitaka kujua jua swala la ujasiriamali kuna mradi mkubwa amabao mtoto wa RAIS anaufanya na wale waarabu kina BALABUU ambae anakesi za wii baclays,kuna mradi wa kiwanda cha cement maeneo ya kisarawe na watu wameisha hamishwa na BOT imetoa garantee kwa baadhiu ya bank ili kutoa mkopo kwa mradi huo.

Nachoomba tusimuhukumu GT na kudai kuwa ametumwa na mafisadi why tunakuwa na majibu rahisi kwa kila jambo?
 
Big up Benny,Big up Ridhiwani!!!!,Mkuu GT kwani mtu akifukuzwa sehemu moja asiajiriwe tena sehemu nyingine?,BIG up Benny na Ridhiwani tena kwa kucreate opputunities ambazo kaka na dada zetu wamepata ajira.

Huwezi kujaza waandishi wote waliofukuzwa.
pia hapa Ridhwan kaingiaje? naona unajipendekeza kwa Ridhwan. na itakuwa maajabu ya Dunia kama Ridhwan atakuwa na business partner kama huyu BENNY KISAKA msomi wa darasa la Tatu.

Gazeti hili ni mradi wa BLANDINA NYONI sio Ridhwan, huyu mama alipkuwa katibu mkuu MALIASILI ndiye aliye injinia mambo haya.
 
Issue hapa kwa mtu ambaye amekuwa exposed kama PINTO the last thing one would have expected ni yeye kufungua gazeti lenye category ya RAG...surely what i expeced angefungua gazeti lenye calibre ya NewYork Times au Times of London lakini siyo gazeti lililo kaa kama National Enquirer if not Daily Star

Na sina matatizo na Ridhwani par se lakini this is embarassment kwake kwa sababu kwa msomi kama yeye he should have known better na the last thing alichotakiwa kukifanya ni kuwa exposed na mambo haya ...na mbaya zaidi kuingia kwenye investments ambazo zitamweka kwenye front pages bila sababu yyote ile...another day another wrong move from Ridhwani...kwanza ile ya CCM nayo ilikuwa mchemsho sasa hivi hiii

nilikuwa namtetea sana humu nikaambiwa ohhh Ridhwani jamaa yangu lakini hili I'm sorry to say sipo pamoja naye

halafu mnalalamika kuhusu media credibility Tanzania


ridhwani masters imemshinda hull na wakati kila kitu kimelipiwa
sijui hiyo degree aliipataje
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom