Gazeti la An-Nuur na Kuchochea Ugaidi

Status
Not open for further replies.
wewe huwezi elewa maandishi yangu kwakuwa akili yako iko low..affected by st. pingirimavi plus sunday school studies..no more than daily/sunday mass attendance ..

Ukizingatia pia mawazo yako managed na padre aliyekosomesha bure...so mawazo tegemezi..wapi na wapi na mtu aliyesoma kwa juhudi zake mwenyewe mkuu..
yawn...I am tired kusoma na kujibu upupu.
 
Msomi wewe unashangaza sana.. Sasa ikiwa sayansi inaamini kuwepo kwa metaphysics halafu wewe unauliza swali nje ya metaphysics, wanitaka mimi ni prove kitu kwa kutumia direct experience zenye material reality - Kweli hivi ndivyo ulivyofundishwa?..Nionyeshe wewe mahala sayansi inapingana na kuwepo kwa metaphysics kwanza.. halafu swala la Mungu nimesema nitafute kwa muda wako - I will prove to you!
<br />
<br />
Kweli wewe kiboko huelewi, siwezi kupoteza muda kwaheli
Halafu una inferiority complex wewe unafikiri kila mtu anakuona mpumbavu wakati watu tunatoa postive criticism tu.
 
Nalianzisha vagi -
Jamani ebu nifahamisheni kitu kimoja, nashindwa sana kuwaelewa Makristo.
Viongozi wa Chadema wanapokuwa majukwaani husema maneno kama haya na hata wanachama wa CDM husema maneno haya haya dhidi ya CCM na serikali, inakuwaje ni makosa kwenu wanaposema Waislaam?

Halafu kwa nini matusi yanawatoka sana kuwatukana waislaam kuwa wajinga hawana elimu dunia isipokuwa ya madrasa na kadhalika hivi nyie mmeelimika kitu gani? - Kuamini kwamba Yesu ni Mungu?
Haya sawa sisi wajinga, wapumbavu na kadhalika - Nyie mlosoma nambieni ni ktk kutumia elimu gani ya dunia (Sayansi) mtu anaweza kuamini Yesu ni Mungu?
Huwezi amini Uungu wa YESU hadi ufunguke toka kwenye mduara wa dini yako,Imani juu ya Uungu wa YESU inategemea uwezo wako wa kufikiri na kutafakari yahusuyo Mungu. Kama unamwamini YESU huna namna ya kutoamini Uungu wake,lakini kama humwamini yesu THEN ukaamini kwamba ni Mungu utakuwa hamnazo,Biblia imenukuu maneno ya YESU mwenyewe kuthibitisha Uungu wa YESU. Emanuel...MUNGU PAMOJA NASI

Hallelujah...

Huwezi ukaamini YESU ni Mungu ukaendelea kuwa Mwislam kama vile Huwezi ukaamini Kuwa ALLAH Ndiye muumba wa Mbingu na ardhi na Mohamad ni mtume Ukaendelea kuwa Mkristo. Ni budi kabla ya kuamini moja kati ya hayo inabidi ulikane moja
 
Hata ukijipendekeza na kuwaelewasha vipi hao ni makondoo hawatakuelewa wala hawatakupenda period..kuna mtu anayejipendekeza kwa makristo kama JK lakini ameishia kutukanwa..<br />
<br />
Lugha moja tu wanaelewa ...jino kwa jino wanaogopa vita kama wanawake
<br />
<br />
mbona
wewe huogopa sana maandamano et yanaleta uvunjifu wa aman je na wewe ni mwanamke?
 
Topical,
Mkuu unajua huyu Abduhalim anashangaza sana.. Ni yeye aliyesema Uislaam umeletwa na waarabu lakini anakataa elimu dunia haikuletwa na waarabu ati hiyo ni bold conclusion kwani watu sehemu nyingine walikuwa wanaishi vipi? kwani kabla ya waarabu sisi tulikuwa hatumjui Mungu?. Yaani yeye ndiye anaogelea bahari asiyofahamu kina chake lakini mwepesi kusema wengine.
 
Maneno makubwa sana hayo...hata mkoloni alisema uhuru hamtapata..lakini mwishowe aliachia mwenyewe<br />
<br />
Haki itatawala mkuu hata kama huipendi? of course dini yetu ni ya kweli kabisa kupita hizo zingine no dought about that...hata papa anajua..
<br />
<br / Hivyo ndivyo mnavyoamini nyinyi kuwa dini yenu ni sahihi kuliko zote sawa sikatai lakini ni kwa mujibu wa imani yenu sio mbaya ila kosa kubwa mnalolifanya ni kutaka tena kwa lazima kupandikiza imani yenu kwa wengine wasio waislamu eti nao waamini vile mnavyoamini! Kwa nini msituache na imani zetu kiasi kila mmoja akaamini kwa uhuru kile anachoamini? Mfano mzuri ni wewe mwenyewe tayari ushapandikiza imani yako kwa papa sasa kwanini iwe hivyo? Na una haki gani juu ya hilo? Hii ni dunia acheni iwe huru kiimani maana hakuna aliyewahi kuonana na mwenyezi kwa kizazi hiki na kuambiwa kuwa dini yake ndio sahihi sote tunafata imani tulizozikuta enzi na enzi sasa kwa nini mishipa ya shingo iwatoke?
 
<br />
<br />
mbona
wewe huogopa sana maandamano et yanaleta uvunjifu wa aman je na wewe ni mwanamke?

maandamano sijawahi kuogopa...tena yale wapenda madaraka hayasumbui...mbona yamefanyika mengi hakuna lolote

maandamano ya wanaume impact yake dunia nzima..tukiandika kwenye annur tumbo moto tukiandamana si mimacho itawatoka..
 
<br />
<br / Hivyo ndivyo mnavyoamini nyinyi kuwa dini yenu ni sahihi kuliko zote sawa sikatai lakini ni kwa mujibu wa imani yenu sio mbaya ila kosa kubwa mnalolifanya ni kutaka tena kwa lazima kupandikiza imani yenu kwa wengine wasio waislamu eti nao waamini vile mnavyoamini! Kwa nini msituache na imani zetu kiasi kila mmoja akaamini kwa uhuru kile anachoamini? Mfano mzuri ni wewe mwenyewe tayari ushapandikiza imani yako kwa papa sasa kwanini iwe hivyo? Na una haki gani juu ya hilo? Hii ni dunia acheni iwe huru kiimani maana hakuna aliyewahi kuonana na mwenyezi kwa kizazi hiki na kuambiwa kuwa dini yake ndio sahihi sote tunafata imani tulizozikuta enzi na enzi sasa kwa nini mishipa ya shingo iwatoke?

Barabara hakuna anayekulazimisha uingie kwenye uislamu..as long umefahamishiwa kuwa dini ya kweli ukakataa..

Lakini waislamu kudai haki zao na kuondoa dhulma na ubadirifu na msingi wa din yetu...tupongeze annur kwa kuhamasisha wtu kudai haki zao kwa njia yoyote..ile.
 
Topical,
Mkuu unajua huyu Abduhalim anashangaza sana.. Ni yeye aliyesema Uislaam umeletwa na waarabu lakini anakataa elimu dunia haikuletwa na waarabu ati hiyo ni bold conclusion kwani watu sehemu nyingine walikuwa wanaishi vipi? kwani kabla ya waarabu sisi tulikuwa hatumjui Mungu?. Yaani yeye ndiye anaogelea bahari asiyofahamu kina chake lakini mwepesi kusema wengine.
Nashangaza si kidogo, maana nilitegemea mtu yeyote mwene average commonsense kutambua kwamba maarifa hayawezi 'kuanza' au kuwa localized. Ndio maana tangia mwanzo nilishasema una utawaliwa na kuwaabudu waarabu na utamaduni wao(including usilamu) na ni vigumu kwako sana kuona point yangu. SIkutegemea kitu tofauti. Wakati waarabu wanaanzisha madrasa karne ya 8 kujifunza koran na hadith, =kwa karne kadhaa Wamisri, Wachina, Wahindi, Wagiriki kwa karne kadhaa walishafanya mambo makubwa tu,,lakini kwa kuwa hawakuwa wasilamu kwa mujibu wa Mkandara hii sio elimu,,very hilarious indeed.
 
Wamiliki wa gazeti la ANNUR wanawadanganya waislam,wao wataendelea na biashara zao na kula ada za ubungo islamic,kirinjiko etc wakati familia za wahanga zikitaabika.waanze wao kina topical,ffox,ms kisha nasi tuwafuate
 
<br />
<br / Hivyo ndivyo mnavyoamini nyinyi kuwa dini yenu ni sahihi kuliko zote sawa sikatai lakini ni kwa mujibu wa imani yenu sio mbaya ila kosa kubwa mnalolifanya ni kutaka tena kwa lazima kupandikiza imani yenu kwa wengine wasio waislamu eti nao waamini vile mnavyoamini! Kwa nini msituache na imani zetu kiasi kila mmoja akaamini kwa uhuru kile anachoamini? Mfano mzuri ni wewe mwenyewe tayari ushapandikiza imani yako kwa papa sasa kwanini iwe hivyo? Na una haki gani juu ya hilo? Hii ni dunia acheni iwe huru kiimani maana hakuna aliyewahi kuonana na mwenyezi kwa kizazi hiki na kuambiwa kuwa dini yake ndio sahihi sote tunafata imani tulizozikuta enzi na enzi sasa kwa nini mishipa ya shingo iwatoke?
Lakini mkuu wangu sii wewe ndiye ulosema Waislaam wanafikiri dini yao ni bora kuliko zote? kwa nini umefikiria hivyo wakati unajua fika kwamba hata wakristu wanafikiri dini yao ni bora kuliko zote.. Hili la kufikiri kwa watu kwa nini unalifanya kuwa hoja yako! sasa umejibiwa unaanza kusema waislaam hivi na vile lakini ndani ya roho yako hata wewe unaamini dini yako ni bora kuliko zote na siwezi kukuuliza wala kusema kwa sababu najua ndivyo unavyofikiria..Nikikuuliza nataka kuonyesha watu jinsi ulivyokuwa na makosa hali hata mimi nafikiri dini yangu ni bora kuliko yako.. huoni kama unacheza mchezo mbaya!
 
Huwezi amini Uungu wa YESU hadi ufunguke toka kwenye mduara wa dini yako,Imani juu ya Uungu wa YESU inategemea uwezo wako wa kufikiri na kutafakari yahusuyo Mungu. Kama unamwamini YESU huna namna ya kutoamini Uungu wake,lakini kama humwamini yesu THEN ukaamini kwamba ni Mungu utakuwa hamnazo,Biblia imenukuu maneno ya YESU mwenyewe kuthibitisha Uungu wa YESU. Emanuel...MUNGU PAMOJA NASI<br />
<br />
Hallelujah...<br />
<br />
Huwezi ukaamini YESU ni Mungu ukaendelea kuwa Mwislam kama vile Huwezi ukaamini Kuwa ALLAH Ndiye muumba wa Mbingu na ardhi na Mohamad ni mtume Ukaendelea kuwa Mkristo. Ni budi kabla ya kuamini moja kati ya hayo inabidi ulikane moja
<br />
<br />
Bora wewe umweleze maana nimejaribu kumwelewesha kwa namna ya kati na rahisi lakini naona anakichwa kizito.
 
Allah ni neno la kiarabu maana yake ni Mungu kwa kiswahili... Labda wewe msomi nambie tofauti ya God na Mungu ni ipi?

Allah ni neno la kiarabu maana yake ni mungu na SIO Mungu.Allah hajawahi kuumbwa kwani hata yeye anatambua kuwepo kwa Mungu Muumba
 
Nashangaza si kidogo, maana nilitegemea mtu yeyote mwene average commonsense kutambua kwamba maarifa hayawezi 'kuanza' au kuwa localized. Ndio maana tangia mwanzo nilishasema una utawaliwa na kuwaabudu waarabu na utamaduni wao(including usilamu) na ni vigumu kwako sana kuona point yangu. SIkutegemea kitu tofauti. Wakati waarabu wanaanzisha madrasa karne ya 8 kujifunza koran na hadith, =kwa karne kadhaa Wamisri, Wachina, Wahindi, Wagiriki kwa karne kadhaa walishafanya mambo makubwa tu,,lakini kwa kuwa hawakuwa wasilamu kwa mujibu wa Mkandara hii sio elimu,,very hilarious indeed.
<br />
<br />
Mzee utasema sana haelewi huyo period
 
Nashangaza si kidogo, maana nilitegemea mtu yeyote mwene average commonsense kutambua kwamba maarifa hayawezi 'kuanza' au kuwa localized. Ndio maana tangia mwanzo nilishasema una utawaliwa na kuwaabudu waarabu na utamaduni wao(including usilamu) na ni vigumu kwako sana kuona point yangu. SIkutegemea kitu tofauti. Wakati waarabu wanaanzisha madrasa karne ya 8 kujifunza koran na hadith, =kwa karne kadhaa Wamisri, Wachina, Wahindi, Wagiriki kwa karne kadhaa walishafanya mambo makubwa tu,,lakini kwa kuwa hawakuwa wasilamu kwa mujibu wa Mkandara hii sio elimu,,very hilarious indeed.
Mkuu wangu wala sintachoka kukufahamisha.. Kuran haihusiani kabisa na elimu dunia, tunazungumzia vitu viwili tofauti.. Kuran ni elimu ya kiroho haihusiani na Mataifa ya Wachina, wahindi au waafrika kwa hiyo unapochanganya vitu jaribu kuchuja pia. Waarabu kweli walituletea DINI ya Kiislaam na hao hao pia walituletea mwanzo elimu dunia ambayo haihusiani na dini. Huu ndio ukweli ambao hutaweza kuubadilisha.
 
Wamiliki wa gazeti la ANNUR wanawadanganya waislam,wao wataendelea na biashara zao na kula ada za ubungo islamic,kirinjiko etc wakati familia za wahanga zikitaabika.waanze wao kina topical,ffox,ms kisha nasi tuwafuate

Annur imeshafanya kazi kubwa kuwaamsha waislamu na kujitambua..hakuna muislam Tanzania kwa sasa hajui kwamba jumuia za kikristo na hila zao kwa waislamu....

Kilichobaki ni mkakati wa kudai haki hizo kwa vitendo elimu iko tayari kabisa...hakuna anayedanganywa hapo...
 
Mkuu wangu unachoshindwa kuelewa ni kwamba mimi nayeamini Mungu mmoja ni mjinga na Mpumbavu hivyo inaeleweka, isipokuwa wewe unayeamini Yesu ni Mungu, msomi usiyekuwa na upumbavu ndio nataka unieleze ktk elimu yako hii kitu umeipata wapi?..Kitu mnachojaribu kuaminisha watu ni kwamba Waislaam ni wajinga hawakusoma lakini ujinga na upumbavu naousoma humu unanipa shaka zaidi na hizo elimu zenu.
By the way, metaphysics ni sayansi tayari na naweza kuthibitisha kuwepo kwa Mungu kisayansi - nitafute kwa muda wako!

Mkandara mimi niko interested kujua ni lini umefanya transformation hii ya kutambua kuwa approximately 95% ya wafuasi wa chadema wanakishabikia Chama chao kwa mtazamo kwamba kinauwakilisha ukristo. maana nakumbuka ulipigana vikali kukanusha huu ukweli ukitanabaisha kuwa ni propaganda. Binafsi nilikuona mtu wa ajabu sana maana nilikuwa nao ushahidi wa kuona kwa macho yangu kilichokuwa kinaendelea kule mkoani kwetu tena ambako idadi yao haizidi hata 15%. Chanzo kilikuwa ule walaka wa maaskofu na kwa makusudi kabisa Rais alipojaribu kulikemea wakamgeuzia kibao ukiwemo na wewe kuwa eti ni mdini.

anyway kwa kuwa muda wote wewe unakuwa wa mwisho kuelewa aidha kwa makusudi au kiukweli basi mimi nakupa tena muda wa hii miaka 4, utakachokiona 2015 kama CCM wakisimamisha mkristo utakuja kutuambia. Hakuna mwenye maslahi na nchi kati yao bali wanamaslahi na ukristo tu tena dhidi ya waislam na uislam. Lakini pia kuhusu elimu hilo ndiyo usiseme hawa jamaa ni vilaza mno na kwa taarifa yako elimu yao haiwasaidii hata kidogo kumake life nje ya ajira rasmi za serikali na alikes zake na ndiyo maana wanang'ang'ania favour hii iliyopo wanataka hali hii iendelee hawaoni tatizo.

Kwa ufupi uwepo wao hapa Tanzania ndiyo umesababisha huu umasikini katika nchi hii. Hawa watu ni wezi ajabu wanahamisha serikalini na kupeleka makanisani. Ninao mfano kuna rafiki yangu aliniambia eti katika kanisa lao waumini wote wanatakiwa kuwasilisha asilimia 30% ya mishahara yao kila mwezi. Hebu fikiria kwa mishahara ya Tanzania hawa watu wanaishije kama siyo wizi. Hakika ni wezi hawa na ni wahujumu wa hii nchi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom