Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Nilkuwa napataka hapo kwenye NYEKUNDU na BLUU ili muone contadictions zilizopo. Ukweli uko wapi?.
Angalia hii picha vizuri utaona huo mlipuko ulitokea wapi....huyo aliyeinua mkono na fimbo juu ndio askari aliyejeruhiwa ambaye alijitahidi sana kuwaelekeza wenziye waSimdhuru Mwangosi kwa kuwa anamfahamu....ukiangalia kwa makini utaona Mwangosi kashikilia kiuno cha afande kujihami huku huyo dogo kushoto akimlipua