Kweli nyani haoni kundule!
sasa nitawahoji........wangapi wanasema ni gazeti la udaku wa dini ya subuana?
Kafiri hachagui maneno bana, aliewachongea kinyago akawaambia ni Mungu alijua upeo wa akili zenu !Kuna baadhi ya waislamu wana mtindio wa ubongo. Wao wanadhani ni waislamu zaidi ya wale wa Saudia au Iran. Yaani mfano wakienda Saudia wala hawawezi tambulika kama waislamu. Wawaulize wenzao wanaoishi Iraq. Ni ujinga mtupu hii dini upande wa Africa. Waafrika ni weusi na dini ya kiislamu waliipokea kama nyeusi,
Dr Babak Sheikh. Orthapaedic Surgery.
Dr Mohamed Aden Sheikh. Surgery.
unataka wengine?
usiwatupie watu lawama wakati nyinyi ndiyo mlioshiriki kikamilifu kuirudisha ccm na serikali yake madarakani 2010 kwa sababu rais ni kikwete/muislam...
mkuu naona upo uhamishoni bara.ngoja nasi 2anze kuwatimua.kagazeti hako na radio iman ingekuwa wakristo wangeshapigwa ban.
namuomba moderator afute hii thread, haina mashiko.
ataifutaje ? wakati anafurahia Wagalatia wanavyo ukejeli Uislaam !namuomba moderator afute hii thread, haina mashiko.
Kuna baadhi ya waislamu wana mtindio wa ubongo. Wao wanadhani ni waislamu zaidi ya wale wa Saudia au Iran. Yaani mfano wakienda Saudia wala hawawezi tambulika kama waislamu. Wawaulize wenzao wanaoishi Iraq. Ni ujinga mtupu hii dini upande wa Africa. Waafrika ni weusi na dini ya kiislamu waliipokea kama nyeusi,
Huu ndio kweli wasomi wa Tanzania ni sawa sawa na Punda aliebeba mizigo ya vitabu...
Sehemu yoyote kwenye wasomi lazima athari zionekane.
Athari za Wasomi wa Tanzania ni Ufisadi.
Nyie mmefuzu Elimu ya Ufisadi !tatizo la hawa ndugu zetu ilmu hakuna..tuwaulumieni.
Bora ifutwe sababu wengi humu wameanza kuchambua vyeo vya watu kwa dini zao,huu udini utaviabgamiza vizazi vyetu.