Gaza Humanitarian Ships Leave Cyprus, attacked by Israeli Commandos

Israel wanafanya vitendo vya kinya, Hawa activits wanapeleka misaada ya chakula kuwasaidia inocent people, haihusiani kabisa na Hamasa wala any sort of politics.

Under international law, Israel hana right ya ku block vyakula au misaada inayomsaidia mwana nchi wa kawaida, afterall Israel amevamia nchi ya palestina by any difinition

At this time dunia nzima inalaumu msireli, JF kuna vilaza wanajaribu ku justfy killing na kusherehekea vifo vya watu wasiohusika na upande wowote zaidi ya kuwasaidia wenyeshida, tujaribu kutumia vichwa vyetu badala ya kuendeshwa na chuki za kijinga.

international law hiyohiyo inatambua blockade...si kwamba israel wanazuia kabisa kuingia misaada gaza, israel wameweka utaratibu halisi ambao meli yoyote inayopeleka vitu gaza inatakiwa kufuata huo utaratibu, kwa kukaguliwa etc, kuna baadhi ya bidhaa zinaingizwa for the purpose ya kuwa material ya kutengeneza mabom na rocket kule gaza, chemicals baadhi pia zimezuiliwa...sasa wapalestina wameona lengo lao la kuendeleza underground movement ya death to israel inakwamishwa, ndo maana wanachukulia kisingizio cha humanitarian aid....hiyo haijaanza leo kwa taarifa yako, .....

israel hajavamia nchi ya palestina, palestina sio nchi, hakuna nchi katika historia yoyote utakayosoma inaitwa palestina, waarabu ndo walivamia nchi ya waislrael wakati wayahudi wamechukuliwa utumwani. kama ukitekwa nyara na jambazi/gaidi nyuma mtu akachukua nyumba yako, ukiachiwa ni halali yako kuichukua ile nyumba yako na hakuna mtu atasema ile nyumba ni ya yule aliyeingia wakati wewe uko matekani...atakuwa hana akili nzuri....ile nchi kuna evidence zote ni ya waisrael na hakuna wa kubadili ukweli huu.
 
Hawa ni international activits na hiyo ship ni kwa ajili ya aid ndio maana dunia nzima wanalaumu israel, wewe unamtazamu wa ajabu na chuki ambazo wakati mwingine si lazima. This is humanitarian aid boy!

international aid body inapoingia kwenye nchi ya watu inatakiwa kwenda kwa utaratibu na kwa kuruhusiwa na nchi husika, kama haitafanya hivyo inatakiwa ikubaliane na lolote. huwezi kuvunja sheria za kimataifa kwa mgongo wa humanitarian aid, utu wema etc. hao kwani walikuwa hawajui kuwa israel imeweka blockade hapo, israel iko sovereign kwenye nchi yake na mtu yeyote anayeingia anatakiwa kuheshimu sovereignty hiyo kitu kinachoheshimiwa na nchi zote duniani. si kweli kwamba dunia nzima wanalaumu wala hili si jambo la ajabu, kulalamikia hii blockade hawajaanza leo, wameanza muda sana tangu walipoanz akulalamika ati mbolea na nondo za chuma haziruhisiwi, mara chakula wakati ule wakati baada ya gaza bombardment kutokea..lakini walipokuja kuangalia upande wa israel walivyokuwa wanafanya, ilionekana israel walikuwa hawazuii bidhaa zote, tatizo ni kwamba wapalestina walikuwa wanaingiza materials ambazo si silaha ili watengeneze silaha ndani ya gaza....USITAKE KUWAHAMASISHA WATU WAKUBALIANE NA HATRED YAKO DHIDI YA ISRAEL, si kila mtu atakusapoti...kwanza jambo lenyewe hili ni la kawaida kwasababu kama kulaaniwa na watu kwa israel, wanaongeaga hivyohivyo ili kuwatuliza tu wapalestina lakini hakuna hatua yeyote itachukuliwa...

kwa taarifa yako, kati ya nchi zilizobobea kwenye masuala ya international humanitarian law/sheria ya vita, israel ni mojawapo, na ndio maana wamefanya hivyo wakijua wanachokifanya, na wanasubiria tu kama kuna mwenye ubavu awapeleke kwenye vyombo vya sheria, kama ni security council, kama ni the hague wanaelewa....kwa taarifa yako, siku hizi viongozi wan nchi wako makini sana kwasababu ukifanya kosa lililo nje ya sheria tu,unapigwa warrant of arrest kwenda hague haraka sana....hivyo ukiona mtu anafanya kitu kwa kujiamini, basi ujue anajua hajauvnja sheria...umesikia bwana mdogo!
 
icon1.gif
Re: Reports: Israeli ships attack aid flotilla

ripoti inasema pamoja na mengineyo.
"The White House issued a cautious reaction, saying "The United States deeply regrets the loss of life and injuries sustained, and is currently working to understand the circumstances surrounding this tragedy."
JE TUSEME HUKO NDIKO KUTOEGEMEA UPANDE WOWOTE (IMPARTIALITY) WANAOUHUBIRI HAO WABABE WA DUNIA?


Harafu wanamlaumu China juzi kushindwa kulaani kitendo cha North Korea kuilipua meli ya South Korea! Now I know..hii dunia unahitaji kuwa na akili kama ya China kusurvive hawa western powers. Maana alichofanya Obama kushindwa "kulaani" hayo mauaji ya Israel ...ni exactly alichokifanya China..kwa kuwa impartial na "ku-regret loss of life" kwenye meli ya South Korea! Bila kumnyoshea kidole North Korea (rafiki yake). Lakini uone China alivyonyoshewa vidole na ulimwengu mzima. Lets wait possibly someone (CNN or BBC) will scream about this...

In all, I think so far, Israel used excessive force and in anycase, the ship was in international waters. Lets wait what international experts will say. But this double standards za US na EU, shows you once again, how difficult it will always be to solve global problems, especially when it involves interests of big powers. Kila mtu anamlinda rafiki yake. Mi ndo maana I will never sing this song of global war on terror, climate change or anything related to that...maana I surely know, anything assumes a status of international problem when it negatively affects the interests of big powers. You will never hear..challenges in the global south as "international problems". Kweli, mwache China asonge mbele..aliona mwanga wa dunia ..kabla ya wenzake akini sisi..labda na sisi iko siku tutauona huo mwanga.

Masanja
 
international law hiyohiyo inatambua blockade...si kwamba israel wanazuia kabisa kuingia misaada gaza, israel wameweka utaratibu halisi ambao meli yoyote inayopeleka vitu gaza inatakiwa kufuata huo utaratibu, kwa kukaguliwa etc, kuna baadhi ya bidhaa zinaingizwa for the purpose ya kuwa material ya kutengeneza mabom na rocket kule gaza, chemicals baadhi pia zimezuiliwa...sasa wapalestina wameona lengo lao la kuendeleza underground movement ya death to israel inakwamishwa, ndo maana wanachukulia kisingizio cha humanitarian aid....hiyo haijaanza leo kwa taarifa yako, .....

israel hajavamia nchi ya palestina, palestina sio nchi, hakuna nchi katika historia yoyote utakayosoma inaitwa palestina, waarabu ndo walivamia nchi ya waislrael wakati wayahudi wamechukuliwa utumwani. kama ukitekwa nyara na jambazi/gaidi nyuma mtu akachukua nyumba yako, ukiachiwa ni halali yako kuichukua ile nyumba yako na hakuna mtu atasema ile nyumba ni ya yule aliyeingia wakati wewe uko matekani...atakuwa hana akili nzuri....ile nchi kuna evidence zote ni ya waisrael na hakuna wa kubadili ukweli huu.



Unataka kuleta evident za Bible zilizoandikwa na Paul!

UN wanaita izrael waachie ardhi atleaset walioikamata 1947



Aid convoy walikua kwenye internationa water waharuhusiwi kuwa attacked under international law




Security coucil wamelaani kitendo cha israel na wameitisha kikao cha dharura kesho



Blckaid haijaruhusiwa na nchi yoyote kwa Palestina ina authority yake sio Israel kuwapangia cha kufanya



Waliouliwa ni International aid activitis kutoka nchi tafauti sio wapalestina wala Hamasa, tuache ku justify killing for inocent peopele, Israeli wanaanza kuumbuka na ujambazi anomfanyia mpalestina, kwa kutumia bible na kusingizia ugaidi, wakati huhuo wamevamia nchi ya watu under international lwa,

Shame on you Israel
 
Mbona wa israel hawapelekwi icc-hague au ile mahakama ni kwa africa tuu?hitler hakukosea alipoanza kuwaangamiza wayahudi hawapaswi kuishi ktk dunia ya leo ni wachinjaji.
 
Mbona wa israel hawapelekwi icc-hague au ile mahakama ni kwa africa tuu?hitler hakukosea alipoanza kuwaangamiza wayahudi hawapaswi kuishi ktk dunia ya leo ni wachinjaji.

jibu ni jepesi,,,hawapelekwi ICC kwasababu hawana kosa...kama unaona wanakosa wewe fanya lolote kuishauri nchi yako ya tz iwapeleke icc, au nenda kamwona prosecutor afanya hivyo, au nenda umoja wa mataifa wewe mwenyewe kaiambie security council ifanye hivyo....hawajaona kosa, sasa waipeleke kufanya nini....wanajilinda dhidi ya magaidi na wana haki zote mbele ya umoja wa mataifa...

perpetrators wengi walioshitakiwa wanatoka africa kwasababu africa ndo wamevunja sheria..israel wamevunja sheria gani unayoijua wewe.....
 
Unataka kuleta evident za Bible zilizoandikwa na Paul-kwa hili sijui kwa hiyo sina opinion kwa alilosema mchangiaji husika!

UN wanaita izrael waachie ardhi atleaset walioikamata 1947
Mkuu be careful mwaka 1947 Israel haikuwepo-check your facts correctly. Who alleges must prove.


Aid convoy walikua kwenye internationa water waharuhusiwi kuwa attacked under international law:

What if, Israel ilikuwa inafanya pre-emptive move for self defence? Your argument is not convincing dude-especially from International law perspective.


Security coucil wamelaani kitendo cha israel na wameitisha kikao cha dharura kesho

Again, this is a sweeping statement. Security Council hawawezi kulaani hiki kitendo cha Israel. Unless kuna unanimity ya P-5 members. And you know very well that US cant allow any statement condemning Israel. Same as Security Council walishindwa ku-condemn kitendo cha North Korea juzi. China asingekubali hiyo statement. Unless unaongelea UNGA through a Presidential statement-can do so. But again can the gang of 118 allow that? sijui kwa kweli..or unaongelea EU..they can do so....if they want....

Blckaid haijaruhusiwa na nchi yoyote kwa Palestina ina authority yake sio Israel kuwapangia cha kufanya

Blockade imewekwa na Israel na to some extent Egypt. Palestine is not a state so to speak in international law and they have no attributes associated with a state (refer to the Monte video Convention). As such Israel is a responsible entity for Palestine affairs. As to whether we agree that Israel is justified to do what is doing-its not my concern and ofcourse we all here have different opinions.

Waliouliwa ni International aid activitis kutoka nchi tafauti sio wapalestina wala Hamasa, tuache ku justify killing for inocent peopele, Israeli wanaanza kuumbuka na ujambazi anomfanyia mpalestina, kwa kutumia bible na kusingizia ugaidi, wakati huhuo wamevamia nchi ya watu under international lwa,

Iam not sure kwa hili. Sijaangalia identity za waliokufa. Hata kama walikuwa ni waturkish au wengineo, walikuwa na wajibu wa kuomba kibali kutoka kwa Israel kusudi waweze kuingia Gaza. No shot cut. Unjust as it may seem, lakini Israel ndo mwenye mamlaka kwenye hiyo hiyo international law kuruhusu nani aingie Gaza nani atoke. Ndo maana watu kibao hata akina Desmond Tutu (infact huyu alikuwa kwenye UN Mission) nk..wamekataliwa kuingia Gaza mara kibao. Again, whether or not Israel is justified to do so, is a million dollar qeustion, which will arguably bring in different answers. And you are entitled to your opinion

Shame on you Israel-kwa hili its your opinion and we should respect it. My argument is, when you invoke things like international law..be careful with your analysis. here were talking of facts not simple opinions. KAMA WANAVYOSEMA WENYEWE..YOU MIGHT BE ENTITLED TO YOUR OWN OPINIONS, BUT YOU ARE NOT ENTITLED TO YOUR OWN FACTS.
 
Unataka kuleta evident za Bible zilizoandikwa na Paul!

UN wanaita izrael waachie ardhi atleaset walioikamata 1947



Aid convoy walikua kwenye internationa water waharuhusiwi kuwa attacked under international law




Security coucil wamelaani kitendo cha israel na wameitisha kikao cha dharura kesho



Blckaid haijaruhusiwa na nchi yoyote kwa Palestina ina authority yake sio Israel kuwapangia cha kufanya



Waliouliwa ni International aid activitis kutoka nchi tafauti sio wapalestina wala Hamasa, tuache ku justify killing for inocent peopele, Israeli wanaanza kuumbuka na ujambazi anomfanyia mpalestina, kwa kutumia bible na kusingizia ugaidi, wakati huhuo wamevamia nchi ya watu under international lwa,

Shame on you Israel

umeeleza vizuri, nitaanza moja baada ya lingine.

ni kweli, UN wanawataka israel kuachia ardhi waliyonyang'anya baada ya ile vita waarabu waliyopata aibu ya mwaka.hilo nakubaliana nalo, and so what?kwanza nafikiri hapa ulitaka kusema sijui mwaka 1967? manake ni kweli mwaka huo israel ilikuwa haijatambuliwa.

pili....uwe na uhakika kama kweli walikuwa kwenye international water au la, ndo maana nafurahi umesema TUSUBIRI UCHUNGUZI UFANYIKE ndo tutapata jibu kamili..hivyo ulichosema hakina uhakika hadi pale report kamili itakapokuja...mwarabu anaweza kuongea tu kuwa alikuwa kwenye international water kumbe ni mwongo (si mnaruhusiwa kudanganya kwenye imani yenu just kwa kafir?)....hivyo tuwasikilize upande wa pili wa israel na kama sivyo tusubiri report.

hata kama walikuwa kwenye international waters, walikuwa wanaenda wapi,....walikuwa wanataka kudeliver hizo aids kwenye international waters? au walikuwa wanataka kukaa pale ili viboat vya kihamasi viende kupakua kisirisiri, hilo hatujui..ninachojua, lazima israel waliona kuna legitimate reason kuattach hiyo meli...hawawezi kufanya hivihivi...acheni kulialia....na kitendo chako cha kusema aid convoy wakiwa kwenye international water hawaruhusiwi kuwa attacked kumbuka kuna exeptions....kama walikuwa threat kwa waisrael, kama walishindwa kutoa ushirikiano na israel etc na kama israel waliona kuwa ni legitimate target yao ni halali tu kuwasasambua...wangekuwa wamefanyia kwenye bahari ya nchi ingine sawa, lakini hiyo international water ni ya wote hivyo kama kuna threat yoyote juu yako unaweza kwenda tu kwa uhuru na kushugulikia...specify which instrument of international law kwaza usiongleee hewani...soma vizuri the law of the sea utaelewa...na the law of naval warfare utaelewa.

blockade haijaruhusiwa na nchi yoyote? you are out of your mind, kwani israel inapoweka blockade inahitaji ridhaa ya nchi ingine?...na kwa taarifa yako, Gaza iko mikononi mwa israel, haijitetemei, so stop fikra kuwa wapalestina walioko gaza wanayo authority yao...kuanzia umeme wanaotumia, hadi baadhi ya kodi zinakusanywa na israel...labda ungesema westbank ndo ningefikiria kidogo...hivi kama mtu anakontrol kutoka kwako nak uingia kwako, kila kitu utasema wewe uko independent? .huelewi unachoongea.

hata kama walikuwa ni international aid activists kutoka nchi tofauti, hawaijui gaza kuwa iko mikononi mwa israel? hawajui utaratibu wa kuingiza mizigo gaza?...walijua na walitaka kuattact international community dhidi ya israel, na wameshindwa kwasababu hata security council haina cha kufanya...they are teethless bro....hawataweza kuweka sunction wala chochote, hapo kesho wataenda tu kunywa chai alafu watarudi makwao...kwani wameanza leo?
 
This is a very difficult topic siku zote lakini kwa leo inazidi kuwa ngumu kwa kuwa kuna watu wameuawa na hadi sasa hakuna anayejua ni wangapi. Arguments zote ziko valid yaani zile za for and against zionism. Kwa upande mmoja sheria hizo tunazoziita za kimataifa zinasababisha hali ya maisha gaza yawe unbearable kabisa. Na kwa bahati mbaya katika nchi chache zisizo na mchezo na usalama ni Israel. Kwa upande mwingine ni kweli kuna tishio halisia la usalama duniani kwa sasa. Tazama huyu kichaa wa palestina shahadza na bomu la time square, wamekaribishwa, wana abuse kwa hiyo ni vigumu kutegemea wayahudi wawe soft kama wamaerekani maana matokeo tumeyaoa, kwanza sept 11, pili Delta bombing attempt, time square kuna pattern ambayo inawanyima hao wenzetu utetezi against vitendo vya wayahudi. Mwisho ni unafiki wa mataifa ya kiarabu katika hilo ikiwemo palestina yenyewe. Ni juzi juzi tu Abbas amepiga makelele kwamba mitaro ya njia za chini inatumiwa na wapalestina wenzake kuingiza silaha Gaza. Israel wakafungulia sumu iliyoua wapalestina wenzao.Je tunajuaje labda Abbas huyo huyo aliwatonya wahahudi kwamba meil hizo zimebeba silaha? Si marekani wala UN itayoweza kufurukuta kwa Israel kwa kuwa hawajawahi kuwadanganya kwenye nia yao ya juu ya usalama wao na raia wao. Hiyo meli ilikua inajaribu kuvunja sheria ya eneo la ukanda nje ya maji ya kimataifa hata baada ya maonyo. Wenzetu ni watekelezaji hakuna siasa, kama wangekua hapa wala leo hii tusingekua tunajadili mafisadi kama wapelekwe ama wasipelekwe mahakamani hata kama ni marafiki wa JK. JK mwenyewe angeshatakiwa ajiuzulu kama alivyojiuzulu rais wao kipindi kifupi kilichopita. Bado nasisitiza kwa bahati mbaya kuna watu wamepoteza uhai na sijui walikua na uchungu gani wa kuhatarisha maisha yaohata baada ya kujua kwamba wanaingia eneo lisilo la kimataifa. Pia sikubali kwamba Holocaust isifiwe, kwa kuwa ni holocaust hiyo hiyo inayowafanya wayahudi wawe na phobia ya usalama wao.
 
This is a very difficult topic siku zote lakini kwa leo inazidi kuwa ngumu kwa kuwa kuna watu wameuawa na hadi sasa hakuna anayejua ni wangapi. Arguments zote ziko valid yaani zile za for and against zionism. Kwa upande mmoja sheria hizo tunazoziita za kimataifa zinasababisha hali ya maisha gaza yawe unbearable kabisa. Na kwa bahati mbaya katika nchi chache zisizo na mchezo na usalama ni Israel. Kwa upande mwingine ni kweli kuna tishio halisia la usalama duniani kwa sasa. Tazama huyu kichaa wa palestina shahadza na bomu la time square, wamekaribishwa, wana abuse kwa hiyo ni vigumu kutegemea wayahudi wawe soft kama wamaerekani maana matokeo tumeyaoa, kwanza sept 11, pili Delta bombing attempt, time square kuna pattern ambayo inawanyima hao wenzetu utetezi against vitendo vya wayahudi. Mwisho ni unafiki wa mataifa ya kiarabu katika hilo ikiwemo palestina yenyewe. Ni juzi juzi tu Abbas amepiga makelele kwamba mitaro ya njia za chini inatumiwa na wapalestina wenzake kuingiza silaha Gaza. Israel wakafungulia sumu iliyoua wapalestina wenzao.Je tunajuaje labda Abbas huyo huyo aliwatonya wahahudi kwamba meil hizo zimebeba silaha? Si marekani wala UN itayoweza kufurukuta kwa Israel kwa kuwa hawajawahi kuwadanganya kwenye nia yao ya juu ya usalama wao na raia wao. Hiyo meli ilikua inajaribu kuvunja sheria ya eneo la ukanda nje ya maji ya kimataifa hata baada ya maonyo. Wenzetu ni watekelezaji hakuna siasa, kama wangekua hapa wala leo hii tusingekua tunajadili mafisadi kama wapelekwe ama wasipelekwe mahakamani hata kama ni marafiki wa JK. JK mwenyewe angeshatakiwa ajiuzulu kama alivyojiuzulu rais wao kipindi kifupi kilichopita. Bado nasisitiza kwa bahati mbaya kuna watu wamepoteza uhai na sijui walikua na uchungu gani wa kuhatarisha maisha yaohata baada ya kujua kwamba wanaingia eneo lisilo la kimataifa. Pia sikubali kwamba Holocaust isifiwe, kwa kuwa ni holocaust hiyo hiyo inayowafanya wayahudi wawe na phobia ya usalama wao.

this is not difficult at all, waliouawa kwasasa ni kama kumi, wanajeshi wa israel pia wengi wameumizwa. ilivyotokea ni kwamba, makomandoo wa israel walienda na helikopita wakaanza kushuka kwa kamba kuishukia meli ile ili wakague mizigo nk, wale waturuki na watu wengine waliokuwemo ndani wakaanza kuwafyatulia wale wanajeshi waliokuwa wanashuka, pia wale walifanikiwa kufika kwenye meli walikamatwa baadhi wale unaowaita maactivist walitaka kuwateka/kidnap kama ilivyo kawaida yao....wengine walioshuka walipigwa marungu, nondo, mapanga na silaha zingine, wanajeshi wa israel walipoona inakuwa hatari kwao, walijirusha kwenye maji wengine ili kusave their lives....hapo ndipo wanajeshi wengine walipoopen fire kwenye hiyo meli.

kama walikuwa maactivist, kwanini waliwashambulia wanajeshi wa israel waliokuwa wanaishukia meli ili wakague, mle kwenye meli mlikuwa na nini haswa? walifikiri wakimrushia risasi mwanajeshi yeye hatawarushia? they were defending themselves bwana...

Israeli military gives version of flotilla incident - CNN.com

kilichokuwa kinatakiwa, wale unaowaita maactivist, walitakiwa kunyamaza kimyaa, israel wasingerusha risasi yoyote, sasa kitendo chao cha kuanzisha mashambulizi israel walikuwa na wasiwasi kuwa labda ile ilikuwa geresha tu ya adui yao..so they got what they deserved..
 
Safi sana Vijana wa Jakobo ,mmefanya kazi nzuri ya kutetea Taifa Takatifu. Kwani hao magaidi toka Turkey na baadhi ya Euro country. wanataka kupata sababu ya kuonewa huruma .ili magaidi wenzao wa Hamas wapate mwanya wa kujiandaa kurusha roketi zao .Apiganaye vita ya haki atashinda .wanaharakati gani wasioheshimu mipaka ya Israel .mwana wa Jakobo .Benjamin Nyetanyah Tupo nyuma yako .be carefully na Jamaa anayejiita Hussen Obama ni Msomali asiyekuwa na msimamo na kupongeza kusitisha ziara Usa .simama imara mji wetu Mtakatifu Jerusalem Wasipewe magaidi Kamwe.wayahudi wamejenga Yerusalem miaka 2000 .
 
Kuna ujinga mmoja unaotawala debate juu ya Waisraeli na Wapalestina. Wakristo kwa kawaida watawaunga mkono Waisraeli kwa kuamini kuwa wako karibu nao kuliko Wapalestina walio Waislamu. Of Course, Waislamu watawasapoti Wapalestina. Sitaki kuingia katika sababu za Kihistoria kwani kila mmoja ya makundi hayo mawili huzifasiri kwa njia yake.
Ujinga wa suala hili unatokana na vyombo vya habari ambavyo vingi vinamilikiwa na Wayahudi.
Ukweli ni kuwa: Wayahudi wako mbali zaidi na Wakristo kuliko Waislamu. Infact, Uislamu unakiri kuwa Yesu ni Mtume, wakati Wayahudi ndiyo waliomwua. Hebu jaribu kwenda Israeli uhubiri Biblia mitaani uone kitakachokupata. Hakuna kitu kiitwacho Judeo-Christian roots. Uyahudi uko mbali kabisa na Ukristo na kwa kweli Wayahudi huwachukia na hata kuwacheza shere Wakristo. Fananisha hilo na Waislamu ambapo nchi nyingi ziitwazo za Waislamu zina raia wengi Wakristo. Iraq: almost 500,000, Egypt: 2,000,000 Palestine 60-70,000, Lebanon 800,000, Syria 250,000 na wengine. Wote hawa wanaishi kwa amani isipokuwa baada ya chochezi za kisiasa za hivi karibuni.
Ninachotaka kusema ni kuwa: kama unataka kufahamu suala hili acha jazba za kidini. Soa historia ujue kwa nini Wapalestina wanapigana. Usisikie porojo za vyombo vya habari
 
Wadau mmeipata , hiyo Polisi wanaolipwa mshahara wa chini kuliko wafanyakazi wote wa serikari 155,000 bila kuwa na allowance yoyote ie overtime allowance .leo hii analazimishwa kukatwa sh 9000 kwenye mshahara wake eti kuchangia team ya mpira na vifo .jamani mtaua watoto wa watu.mpira una faida gani kwa polisi ambaye uko Malinyi au Mauta .msitake kusabisha polisi kuomba Ruswa ili .9000 kwa polisi ambaye hana kitega uchumi chochote ni nyingi sana kwa maisha haya.Igp Unda tume juu ya suala hili .tume sio mbaka polisi auE .majukumu ya serikali wasipewe polisi kuzikana. Ni suala la polisi force kumsafirisha ndugu wa polisi au polisi anapoaga dunia mbaka kwao alipozaliwa.sio suala la polisi binafsi.
 
mimi ninafikiri ni upumbavu mkubwa sana kuunga mkono mauaji kama haya.tuache ushabiki, lakini huo ni upumbavu kuua raia wema kwa namna hiyo.na sema ni upumbavu ku support kitu hiki.ni upumbavu
 
mimi ninafikiri ni upumbavu mkubwa sana kuunga mkono mauaji kama haya.tuache ushabiki, lakini huo ni upumbavu kuua raia wema kwa namna hiyo.na sema ni upumbavu ku support kitu hiki.ni upumbavu

unayemwita mpumbavu ni nani? kati ya wapungufu wa akili kuliko wote wewe ni mmojawapo...hauelewi kitu chochote. kaa kimyaa tulia upate lecture bwamdogo....hakuna raia mwema aliyeuawa hata mmoja, hao waliokuwa kwenye meli walikuwa legitimate target ya kushambuliwa, kwasababu walishatoka kwenye kuwa civilian wakawa maadui....israel walikuwa na haki ya kujitetea wenyewe na kutetea mipaka ha usalama wa nchi yao...kwanini wao walipoona wale makomandoo wa kiisrael wanashuka na kamba toka kwenye helikopita kwanini walianza kuwashambulia? unajua hata vitani kabisa hauruhusiwi kumshambulia mtu anayeshuka na parachuzi toka hewani kama hakushambulii wewe?...wao hao unaoita raia wema walianza kuwashambulia, na walipotua kwenye ndege walianza kuwapiga kwa marungu, visu, mapanga, nondo na kufyatua risasi...na walishawachukua wengine ili wawafanye mateka kama yule shalit wanayemshikilia hadi leo...

israel walijua ni raia wema, walipoona wanakutana na mashambulizi, walikuwa na haki ya kuwa na wasiwasi wa nini kimo humo kwenye meli, kwanini wanashambuliwa etc, na wakawasha moto...wanajeshi wengi tu wa israel wamejeruhiwa...wamejerihiwa na nani?na hao unaowaita raia wema...are you out of your mind?
 
Back
Top Bottom