Huko anaitwa David Birlel Gavana wenu Marehemu aliitwa Daud Balali
Hebu mtumienuu mke wake approve km zile tatoo ni za mumewe kweli akinyamaza tumeliwa
Mwisho wa siku kweli itajulikana na napenda kweli ijulikane kabla ya 2015 maana Membe alijiapiza kwamba kama ikigundulika kuwa Balal hajafa basi atajiuzuru!
kuna gazeti moja jumanne ya wika hii lilitoa front page kuwa akaunti zake marekani zinafanya kazi sasa cjui nani anae zirun! kweli tanzania ya nkwere hamnazo, yawezekana analinda maslah ya bush na dhahabu zetu, nkwere na ufisadi wake, mkapa,,,,,,,, ndio mana nae analindwa lol
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.