Gavana wetu shopping Lauer's Maryland nchini Marekani.

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
295373_3567297906301_1388540516_3454660_2078348360_n.jpg



Wadau ndo msemo duniani wawili wawili? Au ni serikali yetu inamuacha huko raia wa Marekani katuibia kakimbia?


 
Huko anaitwa David Birlel Gavana wenu Marehemu aliitwa Daud Balali
Hebu mtumienuu mke wake approve km zile tatoo ni za mumewe kweli akinyamaza tumeliwa
 
Mwisho wa siku kweli itajulikana na napenda kweli ijulikane kabla ya 2015 maana Membe alijiapiza kwamba kama ikigundulika kuwa Balal hajafa basi atajiuzuru!
 
kuna gazeti moja jumanne ya wika hii lilitoa front page kuwa akaunti zake marekani zinafanya kazi sasa cjui nani anae zirun! kweli tanzania ya nkwere hamnazo, yawezekana analinda maslah ya bush na dhahabu zetu, nkwere na ufisadi wake, mkapa,,,,,,,, ndio mana nae analindwa lol
 
nani aliwaambia balali kafa?...jalibuni kupm kwa huyu member de'levis huyu anajua kila kitu juu ya balali....wanakula nae bata sana
 
Acha chuki binafsi juu ya marehemu, tueleze alikuibia nini, wewe unaamua kusindikiza uongo wa watu wenye maslah?!
295373_3567297906301_1388540516_3454660_2078348360_n.jpg



Wadau ndo msemo duniani wawili wawili? Au ni serikali yetu inamuacha huko raia wa Marekani katuibia kakimbia?


 
Back
Top Bottom