Gavana Ana Uwezo Kushusha Thamani Ya Shilingi

Ipole

JF-Expert Member
Apr 15, 2008
294
10
Naomba nielimishwe kidogo kuna mbunge mmoja wa serikali ya BMW kutoka jimbo la Shinyanga mjini.[kwa sasa siyo mbunge]

Alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa STAR TV katika maelezo yake alieleza wazi kuwa gavana anao uwezo wa kushusha thamani ya shilingi ,Na kwamba sababu ambazo zimepelekea kushuka kwa thamani shilingi ni shinikizo la makampuni ya uchimbaji madini.

Ambayo yanamshurutisha gavana ashushe thamani ya shilingi ili watakapobalisha waweze kupata pesa nyigi za kitanzania naomba kama kuna wataalamu wa mambo haya watueleze ni kweli? na kama ni kweli athali zake nini? mahojianao hayo yamefanyika yapata wiki 2 zilizopita sikumbuki tarehe.
 
Naomba nielimishwe kidogo kuna mbunge mmoja wa serikali ya BMW kutoka jimbo la Shinyanga mjini.[kwa sasa siyo mbunge]

Alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa STAR TV katika maelezo yake alieleza wazi kuwa gavana anao uwezo wa kushusha thamani ya shilingi ,Na kwamba sababu ambazo zimepelekea kushuka kwa thamani shilingi ni shinikizo la makampuni ya uchimbaji madini.

Ambayo yanamshurutisha gavana ashushe thamani ya shilingi ili watakapobalisha waweze kupata pesa nyigi za kitanzania naomba kama kuna wataalamu wa mambo haya watueleze ni kweli? na kama ni kweli athali zake nini? mahojianao hayo yamefanyika yapata wiki 2 zilizopita sikumbuki tarehe.

..amegombana nao nini? hawampi tena mshiko?
 
Inategemea na system ya nchi yenyewe ikoje.

Nchi kama china ambako currency yao iko centrally controlled (Mmarekani analipigia kelele hili kila siku kwa sababu anadai it is unfairly cheap) Gavana wa Central bank ana control thamani ya hela.

Kwa sehemu yenye free market Marekani hawana direct control ila Chairman of The Feds na board yake wanaweza ku control through control ya interest rates.

Duniani hakuna nchi iliyo katika a complete and pure free market.

Kwa hiyo jibu fupi ni ndiyo, kwa njia moja au nyingine gavana through the central bank anaweza ku control thamani ya shilingi.
 
Inategemea na system ya nchi yenyewe ikoje.

Nchi kama china ambako currency yao iko centrally controlled (Mmarekani analipigia kelele hili kila siku kwa sababu anadai it is unfairly cheap) Gavana wa Central bank ana control thamani ya hela.

Kwa sehemu yenye free market Marekani hawana direct control ila wanaweza ku control through control ya interest rates.

Duniani hakuna nchi iliyo katika a complete and pure free market.

Kwa hiyo jibu fupi ni ndiyo, kwa njia moja au nyingine gavana through the central bank anaweza ku control thamani ya shilingi.

Kwa maana hiyo Gavana anakuwa na jukumu kubwa sana maana uchumi wa nchi unakuwa mikononi mwake akitaka kutuua anafanya anavyotaka kwa mtaji huo na tamaa ya viongozi wa kitanzani TWAFWAA
 
Lakini nini kinatokea Gavana anapotengeneza note chukulia mfano noti ya Tsh 10,000 na mimi mwananchi ninapeleka Tsh 1,000 kumi nini implication kiuchumi hapo?
 
Naomba nielimishwe kidogo kuna mbunge mmoja wa serikali ya BMW kutoka jimbo la Shinyanga mjini.[kwa sasa siyo mbunge]

Alikuwa akihojiwa na mtangazaji wa STAR TV katika maelezo yake alieleza wazi kuwa gavana anao uwezo wa kushusha thamani ya shilingi ,Na kwamba sababu ambazo zimepelekea kushuka kwa thamani shilingi ni shinikizo la makampuni ya uchimbaji madini.

Ambayo yanamshurutisha gavana ashushe thamani ya shilingi ili watakapobalisha waweze kupata pesa nyigi za kitanzania naomba kama kuna wataalamu wa mambo haya watueleze ni kweli? na kama ni kweli athali zake nini? mahojianao hayo yamefanyika yapata wiki 2 zilizopita sikumbuki tarehe.

Hana, ni Mpaka President a-approve.

Na kuhusu hiyo sababu ya makampuni ya uchimbaji madini ni uongo, Makampuni ya uchimbaji madini hayanunui kitu chochote cha maana hapa nchini kupelekea shinikizo hilo.
 
Ikiwa nchi ya kidemokrasia ya kweli basi Raisi sio lazima a -approve,gavana anaweza tu kupitia nguvu za KIKATIBA.
 
Back
Top Bottom