Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
<table style="width: 491px; height: 277px;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr><td colspan="3" style="padding-left: 10px; padding-top: 5px; width: 491px;">
</td> </tr> <tr style="background-color: rgb(225, 225, 225); padding-top: 10px;"> <td style="width: 250px; padding-left: 5px; padding-bottom: 5px; padding-top: 5px;" valign="top">
Shela lililomtia matatani bi harusi wa nchini Urusi</td> <td style="padding-left: 10px; width: 316px;" valign="top"> Friday, November 27, 2009 3:34 PM
Mwanamke wa nchini Urusi ambaye alivaa shela la harusi lililoweka wazi matiti yake, amesakamwa na maneno ya kashfa katika forum mbali mbali duniani baada ya picha ya harusi yake kuzagaa kwenye internet.</td> </tr> <tr> <td colspan="3" style="vertical-align: top; width: 491px;"> Mwanamke huyo ametupiwa maneno ya kashfa kwa kuvaa gauni la harusi ambalo liliweka wazi matiti yake.
Picha ya bi harusi huyo inasemekana ilipigwa mwaka jana lakini iliingia kwenye mitandao wiki hii na kumsababishia kero mwanamke huyo.
Watu wamekuwa wakiliponda gauni lake la harusi na kutoa maneno ya kebehi kumkashifu.
Gauni hilo la harusi liliacha wazi sehemu kubwa ya matiti yake na kwa chini lilikuwa sawa na magauni ya harusi yaliyozoeleka.
Magazeti ya Uingereza yamekuwa yakimsaka bi harusi huyo wa nchini Urusi ili wamfanyie mahojiano lakini wameshindwa kulipata hata jina lake.
Chini ni linki ya Picha za baadhi ya vituko vya mabibi harusi vilivyowahi kutokea duniani.
Picha zaidi bonyeza hapa http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=3630426&&Cat=2
</td></tr></tbody></table>
</td> </tr> <tr style="background-color: rgb(225, 225, 225); padding-top: 10px;"> <td style="width: 250px; padding-left: 5px; padding-bottom: 5px; padding-top: 5px;" valign="top">
Shela lililomtia matatani bi harusi wa nchini Urusi</td> <td style="padding-left: 10px; width: 316px;" valign="top"> Friday, November 27, 2009 3:34 PM
Mwanamke wa nchini Urusi ambaye alivaa shela la harusi lililoweka wazi matiti yake, amesakamwa na maneno ya kashfa katika forum mbali mbali duniani baada ya picha ya harusi yake kuzagaa kwenye internet.</td> </tr> <tr> <td colspan="3" style="vertical-align: top; width: 491px;"> Mwanamke huyo ametupiwa maneno ya kashfa kwa kuvaa gauni la harusi ambalo liliweka wazi matiti yake.
Picha ya bi harusi huyo inasemekana ilipigwa mwaka jana lakini iliingia kwenye mitandao wiki hii na kumsababishia kero mwanamke huyo.
Watu wamekuwa wakiliponda gauni lake la harusi na kutoa maneno ya kebehi kumkashifu.
Gauni hilo la harusi liliacha wazi sehemu kubwa ya matiti yake na kwa chini lilikuwa sawa na magauni ya harusi yaliyozoeleka.
Magazeti ya Uingereza yamekuwa yakimsaka bi harusi huyo wa nchini Urusi ili wamfanyie mahojiano lakini wameshindwa kulipata hata jina lake.
Chini ni linki ya Picha za baadhi ya vituko vya mabibi harusi vilivyowahi kutokea duniani.
Picha zaidi bonyeza hapa http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=3630426&&Cat=2
</td></tr></tbody></table>