Ndg wanaJF, nimeshangaa sana asubuhi hi wakati waziri wa kazi na ajira wa Tanzagiza alipokuwa anahojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu idadi ya wadanganyika wasio na kazi,akathubutu kusema ni asilimia 19 tu hawana kazi.
Wakati huo huo mwenzake wa Kenya anasema ni asilimia 60 ya Wakenya hawana kazi. Wadau hi imekaaje? Maana nimejiuliza maswali lukuki kuhusu hizi takwimu, amezitoa wapi na ametumia vigezo vipi?
Kihoja kingne ni pale nilimsikia akisema wizara yake inajitahidi sana kuwatafutia vijana kazi hata nje ya nchi.
Wakati huo huo mwenzake wa Kenya anasema ni asilimia 60 ya Wakenya hawana kazi. Wadau hi imekaaje? Maana nimejiuliza maswali lukuki kuhusu hizi takwimu, amezitoa wapi na ametumia vigezo vipi?
Kihoja kingne ni pale nilimsikia akisema wizara yake inajitahidi sana kuwatafutia vijana kazi hata nje ya nchi.