tatizo service mkubwa, hawa kina marwa wakipewa pesa ya service wanakimbilia kwa mama Kayayiii. Ingia ndani uone imetembea km 50000 hata service bado. Badae OCS na OCD wanataka kila likitoka lirudi na magunia ya mkaa, pesa apat wapi UTAJIJU WE SI MTU MZIMA? Akishindwa anahamishwa kitua na kwenda kusomba mahabusu!Nimekosa na picha ya indiketa, dereva anatumia mikono yake kuonyesha upande anaoelekea.