naomba kuuliza members wenzangu kuwa hizi gari za viongozi zenye usajili stk/su/pt n.k. Zinaweza kuendeshwa na wototo wa hao wliokabidhiwa wagogo wa serikali???? Maana navyoelewa kuwa hizo gari ni kwa ajili ya kazi za kiofisi.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.