BBJ
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 1,181
- 160
umeuona waraka wa wale wa lugalo?nguvu ya umma ipo wapi wewe? Nguvu ya umma na wabunge 23...
Hizo gari 6 ni chambo tu jitokezeni muone mizigo yenyewe imepaki lugalo inasubiri amri tu..
Ndio mtajua nidhamu ya jeshi la polisi tanzania ni kubwa kiasi gani