Gari ya kampuni ya masafi (fuso)
limeacha njia na kugonga abiria
waliokuwa kituo cha daladala hapa
korogwe kimara, dar es salaam. Mtu
mmoja hali yake mbaya sana, hii imetokea sasa hivi
Dah hivi hakuna dawa ya kupambana na hizi ajali? Je ni trafic wazembe au tatizo liko wapi?