Gari ya harusi

MKOBA2011

Senior Member
Jul 12, 2011
142
27
Kama kuna mtu anafahamu wapi naweza pata gari nzuri kwa ajili ya harusi nyeusi aina ya Noah new model Morogoro arusi mwezi wa tisa anifahamishe bajeti sh 150,000/= Nawakilisha.
 
Mkuu weka vitu na nukta zina umuhimu sana kwenye sentensi
Kama kuna mtu anafahamu wapi naweza pata gari nzuri kwa ajili ya harusi nyeusi aina ya Noah new model Morogoro arusi mwezi wa tisa anifahamishe bajeti sh 150,000/= Nawakilisha.
 
kweli utoto tatizo,kwanini ujipe tabu yote hiyo. fanya lile ambalo unauwezo nalo. kwanza ukiangalia huyo mke mwenyewe jamaa zako ndio wamekuolea kwa kuwasumbua sana na visms vingi kuwahamasisha michango. Dogo furaha ya familia siyo gharama za harusi, furaha ni maishani hizo pesa acha kuzichezea. Ukiangalia ndugu zako wapo ambao maisha yao ni hohe hahe kiasi kwamba ukiwapa elfu hamsini tu wataona umewatoa ile mbaya sasa wewe unawaza kutafuta umaarufu kwa watu huku ndugu zako wakiendelea kusumbuka. ULIMBUKENI NI NONA.
 
kweli utoto tatizo,kwanini ujipe tabu yote hiyo. fanya lile ambalo unauwezo nalo. kwanza ukiangalia huyo mke mwenyewe jamaa zako ndio wamekuolea kwa kuwasumbua sana na visms vingi kuwahamasisha michango. Dogo furaha ya familia siyo gharama za harusi, furaha ni maishani hizo pesa acha kuzichezea. Ukiangalia ndugu zako wapo ambao maisha yao ni hohe hahe kiasi kwamba ukiwapa elfu hamsini tu wataona umewatoa ile mbaya sasa wewe unawaza kutafuta umaarufu kwa watu huku ndugu zako wakiendelea kusumbuka. ULIMBUKENI NI NONA.

Ulikuwa unamaanisha Nona, Nono au Noma?
 
kweli utoto tatizo,kwanini ujipe tabu yote hiyo. fanya lile ambalo unauwezo nalo. kwanza ukiangalia huyo mke mwenyewe jamaa zako ndio wamekuolea kwa kuwasumbua sana na visms vingi kuwahamasisha michango. Dogo furaha ya familia siyo gharama za harusi, furaha ni maishani hizo pesa acha kuzichezea. Ukiangalia ndugu zako wapo ambao maisha yao ni hohe hahe kiasi kwamba ukiwapa elfu hamsini tu wataona umewatoa ile mbaya sasa wewe unawaza kutafuta umaarufu kwa watu huku ndugu zako wakiendelea kusumbuka. ULIMBUKENI NI NONA.
.Da vijana mna kazi bila shaka we ni wale ambao toka asubuhi mpaka jioni mnashinda mitandaoni kupoteza muda. Maana shule umeenda ajira huna, hujifunzi new knowlege but kucomment upuuzi fanya kazi kijana frustuation zitakuuwa Kazi hakuna sasa.UTABAKI NA FITINA WENZAKO WASONGA MBELE.
 
HaMnuki KIkwapa? nilikodisha gari langu kwa maharusi, ikarudi gari nzima inanuka kikwapa, ikabidi lisitumike wiki nzima, tumeacha milango na madirisha wazi na kutumia njia nyingine za kutolea harufu. Laki mbili niliziona chungu. Sijui walidinyana kwenye gari wakaacha harufu ya kikwapa kilichokubuhu.
 
HaMnuki KIkwapa? nilikodisha gari langu kwa maharusi, ikarudi gari nzima inanuka kikwapa, ikabidi lisitumike wiki nzima, tumeacha milango na madirisha wazi na kutumia njia nyingine za kutolea harufu. Laki mbili niliziona chungu. Sijui walidinyana kwenye gari wakaacha harufu ya kikwapa kilichokubuhu.
I think it is better to comment in any topic while you are in the frustuation free situations. Because I know in our country nowdays there are so many people who are educated enough but half of them are frustuated due to unavoidable circumstances. Which I think we need more psychologist to councel them concerning how to handle life after school.Elimu siyo maisha vijana fanyeni kazi hata za kujiunga vikundi mtakaa kupika majungu mtandaoni na umri unaenda at the end of the day unakuwa tegemezi kwa jamii bora tungesomesha mawe tungejengea kuliko wewe unaenda shule point unazoccoment ni sawa na kijana wa kule sitimbi ambae hajaona hata darasa moja.NAWAKILISHA.
 
kweli utoto tatizo,kwanini ujipe tabu yote hiyo. fanya lile ambalo unauwezo nalo. kwanza ukiangalia huyo mke mwenyewe jamaa zako ndio wamekuolea kwa kuwasumbua sana na visms vingi kuwahamasisha michango. Dogo furaha ya familia siyo gharama za harusi, furaha ni maishani hizo pesa acha kuzichezea. Ukiangalia ndugu zako wapo ambao maisha yao ni hohe hahe kiasi kwamba ukiwapa elfu hamsini tu wataona umewatoa ile mbaya sasa wewe unawaza kutafuta umaarufu kwa watu huku ndugu zako wakiendelea kusumbuka. ULIMBUKENI NI NONA.

acha kupangia watu maisha yao .... big shame
 
I think it is better to comment in any topic while you are in the frustuation free situations. Because I know in our country nowdays there are so many people who are educated enough but half of them are frustuated due to unavoidable circumstances. Which I think we need more psychologist to councel them concerning how to handle life after school.Elimu siyo maisha vijana fanyeni kazi hata za kujiunga vikundi mtakaa kupika majungu mtandaoni na umri unaenda at the end of the day unakuwa tegemezi kwa jamii bora tungesomesha mawe tungejengea kuliko wewe unaenda shule point unazoccoment ni sawa na kijana wa kule sitimbi ambae hajaona hata darasa moja.NAWAKILISHA.

Hujajibu swali bado, umelikwepa, kwa hiyo hau qualify kukodisha gari langu. Typical.
 
kweli utoto tatizo,kwanini ujipe tabu yote hiyo. fanya lile ambalo unauwezo nalo. kwanza ukiangalia huyo mke mwenyewe jamaa zako ndio wamekuolea kwa kuwasumbua sana na visms vingi kuwahamasisha michango. Dogo furaha ya familia siyo gharama za harusi, furaha ni maishani hizo pesa acha kuzichezea. Ukiangalia ndugu zako wapo ambao maisha yao ni hohe hahe kiasi kwamba ukiwapa elfu hamsini tu wataona umewatoa ile mbaya sasa wewe unawaza kutafuta umaarufu kwa watu huku ndugu zako wakiendelea kusumbuka. ULIMBUKENI NI NONA.

well said
 
acha kupangia watu maisha yao .... big shame

Ni mara chache mno mtu unaweza ukasema ukweli halafu pogo akaukubali moja kwa moja. Ipo siku maneno niliyoandika hapo utayaelewa vizuri sana. Dogo wapo wengi sana tunawaona wanafanya harusi za gharama sana kisha after one month anaanza kukopesha pesa kwa washikaji zake. na wapo waliojiona wajanja kwa kuwasumbua washikaji zao kuwachangisha michango na walipoona mamilioni yametimia ya kutosha wakaahirisha tar ya harusi na baada ya masiku wakasikika eti harusi wamehamishia mikoani, kwani anajua mikoani gharama zitakuwa kiduchu na pesa zingine ataanzia maisha. kama uwezo wa kuona na kuelewa hauna basi sikiliza unayofundishwa.
 
Ni mara chache mno mtu unaweza ukasema ukweli halafu pogo akaukubali moja kwa moja. Ipo siku maneno niliyoandika hapo utayaelewa vizuri sana. Dogo wapo wengi sana tunawaona wanafanya harusi za gharama sana kisha after one month anaanza kukopesha pesa kwa washikaji zake. na wapo waliojiona wajanja kwa kuwasumbua washikaji zao kuwachangisha michango na walipoona mamilioni yametimia ya kutosha wakaahirisha tar ya harusi na baada ya masiku wakasikika eti harusi wamehamishia mikoani, kwani anajua mikoani gharama zitakuwa kiduchu na pesa zingine ataanzia maisha. kama uwezo wa kuona na kuelewa hauna basi sikiliza unayofundishwa.

Maneno kama haya uliyoyaandika yanaitwa UMBEA .... meta mada anatafuta gari ya kukodi Noah wewe unakuja na mambo ya habari za ufahari ..... soma uelewe kwanza .... haya badala ya kumshauri afanye nini wewe unalalama tuu .... yeye amepata mchumba sasa unataka asimuoe kwa kutumia culture wether western or traditional ceremonies or both ...... hao hao waliooana bila ceremony Ndiyo guarantee hawatashindwa maisha .... acha kila mtu ajichagulie lake ..... hayo unayosema unaelimisha ni common sense ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom