Natangaliza shukurani kwanza. Nini kifanyike kuhakikisha tairi la gari lako haliwezi kuibiwa na wezi, maana gharama za maitari sio mchezo. Mfumo wa Alarm unaweza saidia? Na mfumo mwingine upi?
hamna kifaa cha alarm kwa ajili ya tairi lako,kuna kitu kinaitwa special nutni watu wachache sana wanazo ila ukienda kwenye maduka yanayouza spare za magari genuine,hasa ya Toyota utazipata....pia kuna wheel disk lock,ambayo unafunga kwenye tairi moja,hiyo ni kama hutaki mtu asogeze gari....kwa hizo special nuts,kunakuwa na special device unayovalisha mbele ya wheel spanner ili uweze kufungua tairi upatapo pancha au ukitaka kubadilisha tairi,wezi wengi wa matairi hawana hiki kidude,na kinafungwa kwenye bolt moja tu kwenye kila tairi.zinapatikana kuanzia bei ya 2000/= na kuendelea
hiyo wheel disk ndo iko hivi .picha zaidi ziko hapo chini.
Car tracking ambapo gari yako unaifunga chip yenye gps kwa hiyo linakuwa tracked anywhere. Nadhani kunamakampuni yanahusika na hilo suala sikiliza sana clouds fm
Mkuu nashukuru, Nilijaribu kuulizia Hizo Lock nuts lakini kwa hapa mwanza maduka mengi niliyopita hamna hii kitu. Na wachache walionazo naona bei ni ya kitapeli around 35 elfu alafu wnaniambia eti wanafunga nut tano kwa tairi moja>
Car tracking ambapo gari yako unaifunga chip yenye gps kwa hiyo linakuwa tracked anywhere. Nadhani kunamakampuni yanahusika na hilo suala sikiliza sana clouds fm
Hii kitu kwenye rav4 yangu. model 2001 ipo lakini sijajua namna ya kuitrack hiyo Gps nadhani kama kuna watalamu watatusaidia. Manual za gari yangu zipo katika lugha ya Kijapani,. na kuna maelezo ya hii Gps
nadhani huyu bwana alikuwa anauliza kuhusu matairi,u can still have a gps tracker na ukaibiwa matairi usipate alert yoyote,for the case of gps trackers,zinatofautiana specifications kutegemeana na supplier wa hiyo device.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.