Dereva aliruka akakimbia,inasemekana kulikua na abiria mmoja lakini haijathibitika mpaka gari litolewe... cha kushangaza pale ferry ni karibu sana na Navy(askari WA majini) na bandari ambayo ina tug boats ambazo zoezi lingechukua mda mfupi ila lisaa lilipita mpaka naondoka hao wavuvi ndio wanahangaika...