Natoa angalizo kwa madereva wa Daladala, Bajaji, Boda Boda, kuweni makini tabia zenu za kuchomekea zitakula kwenu, treni ni hatari mkileta mbwebwe zenu.
Natoa angalizo kwa madereva wa Daladala, Bajaji, Boda Boda, kuweni makini tabia zenu za kuchomekea zitakula kwenu, treni ni hatari mkileta mbwebwe zenu.
..Mkuu nina wasiwasi kama kweli foleni itapungua kama tunavyofikiria. Baadhi ya watanzania tuna kasumba ya kuona ufahari kuzunguka mjini wakiwa na magari yao. Kwa hiyo mswahili kuacha gari yake nyumbani akapande treni mh!!... Huenda ikatumika tu kwetu sisi tusiokuwa na magari.Msongamano wa magari na foleni nadhani utaisha.