Gari inauzwa aina ya Suzuki Escudo milango mitatu.
Ina usajili T991 ADQ
Mwaka: 1993
Iliingia Tanzania kutoka Japan 2004 na imetembea kilometa zipatazo 130,000.
Ipo katika hali nzuri sana na imekuwa inafanyiwa maintenance kila baada ya km 3,000 na rekodi za maintanance zipo.
Bei ni maelewano, mwenye kuihitaji apige simu au kutuma sms ataambiwa bei.
Mwenye kuihitaji awasiliane na Gigwa 0756 446 468.
Kama utasoma hii thread baada ya tarehe 10 April 2009 usipige wala kuulizia. Itakuwa ilishauzwa.
Picha:
Ina usajili T991 ADQ
Mwaka: 1993
Iliingia Tanzania kutoka Japan 2004 na imetembea kilometa zipatazo 130,000.
Ipo katika hali nzuri sana na imekuwa inafanyiwa maintenance kila baada ya km 3,000 na rekodi za maintanance zipo.
Bei ni maelewano, mwenye kuihitaji apige simu au kutuma sms ataambiwa bei.
Mwenye kuihitaji awasiliane na Gigwa 0756 446 468.
Kama utasoma hii thread baada ya tarehe 10 April 2009 usipige wala kuulizia. Itakuwa ilishauzwa.
Picha: