Bourgeoisie
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 656
- 162
Kama kweli haya mpige LIKE basi.King'asti nakuzimia ulivyo sharp.
Haya yote unayajulia wapi mtu wangu?
Pamoja sana.
Kama kweli haya mpige LIKE basi.King'asti nakuzimia ulivyo sharp.
Haya yote unayajulia wapi mtu wangu?
Pamoja sana.
acha uzoba wewekAFARA HIYO..
Mia = 100hivi mia manake nini?
DoneKama kweli haya mpige LIKE basi.
Mbona taarifa hizi zinatoka kama mtoa taarifa alikuwepo?Kama kweli ulikuwepo niruhusu nikuulize maswali zaidi, kama si hivo basi tufahamishe chanzo tafadhali.
Mkuu, handbreak kwa gari ya tanzaidi ya kumi halafu ipo mizani??ukute aliacha bila handbreak, noma sana! mkuu hata picha tu umeshindwa?
mi mwenyewe nilikuwa najiuliza, hivi kumbe tunaimport ngano??Hii inasikitisha sana. Hivi ngano inayoletwa na meli imetoka wapi? Mia.
mia = Missing In Action
mia
Wakiambiwa wafuate safety procedures wanaona wanasumbuliwa. Hairuhusiwi kupaki gari kwenye mzani huku inaunguruma na dereva anashuka! Na wheelchockers ndo msamiati kwao. Uzembe unatumaliza watz.
mi mwenyewe nilikuwa najiuliza, hivi kumbe tunaimport ngano??
Asante kwa kutukumbusha. Si unajua watz wengi vichwa tunatumia kuwekea pombe? Hatutaki kutumia kufikiria. Yaani kazi ipo na sio ndogo.
Nasubiriai uchunguzi wa polisi ukamilike halafu nitauliza.......miaajali imetokea usiku wa saa tisa, mimi nmejua saa mbili asubuhi. unaweza ukauliza maswali yasio zidi matatu. Mia
...nilidhani gari nayo "imepiga mbizi"
hivi mia manake nini?