figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,490
- 54,884
leo alfajiri gari mali ya Bakhresa imetumbukia baharini. ni yale magari yanayo somba ngano kutoka bandarini kwenda kiwandani. ilikuwa ishapack mizani tayari kwa kupima uzito, dreva aliposhuka kwenda kuandikisha ghafla ikaanza kurudi nyuma. na kutumbukia.
Ndani kulikuwemo msaidizi wa dreva,ambaye amezama nayo hadi sasa bado hajatoka. alikuwa kasinzia anashitushwa na kelel za watu gari ishatumbukia. alipotaka kuvua nguo aogelee maji yakamzidi nguvu. ni gari namba 43 iliyokuwa ikiendeshwa na Hilary.
Mia
Ndani kulikuwemo msaidizi wa dreva,ambaye amezama nayo hadi sasa bado hajatoka. alikuwa kasinzia anashitushwa na kelel za watu gari ishatumbukia. alipotaka kuvua nguo aogelee maji yakamzidi nguvu. ni gari namba 43 iliyokuwa ikiendeshwa na Hilary.
Mia