Shalom
JF-Expert Member
- Jun 17, 2007
- 1,315
- 124
lakini hujui humu kuna mapolisi washaanza kutoa majibu hata kabla ya maelezo ya dreva hayakutolewa ! watu washasema ccm hao !
ndio hapo ninapopata mwanya wa kusema CHADEMA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEE ! maana ccm sasa imezidi bana kila baya litakalotokea kwa wapinzani ni wao tu ! teh teh teh teh !
Nimeshawaambia jamani dawa ya mtu huyu si kumjibu ni kumuacha aweweseke peke yake. Mnavyojibishana naye ndiyo mnampa kichwa. ukibishana na mjinga na wewe unakuwa mjinga. mpeni kubwa na tuendelee na issues