Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Lilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
PUMBAVU;Pua yako inathibitisha ukaribu wako na nguruwe kuliko binadamu!!
Lilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
WanaJF,
Taarifa sahihi ni kuwa Gari la Sugu akiwepo Silinde lilikuwa kwenye msafara wangu tulipotoka ziara ya Mbeya. Tulikuwa tunarejea Dar. Majira ya saa 3 usiku tukiwa maeneo ya "kwa Mathias" kama si kosei. Tyre ilipata moto sana. Hapakuwa na tatizo lilompata Silinde kwa kuwa hapakuwa na mlipuko wa moto. Wanaojua "break jam"wataelewa vizuri kilichotokea. Kwa msaada wa Mkiti wetu wa Pwani mafundi walipatikana na kufunga au kufungua pipe ya break ya tyre husika. Ndipo tukaendelea kumalizia safari salama. Wana JF lwa safari ndefu hivyo nadhani hakuna cha ajabu kwa tukio hilo.nadhani taarifa hii itawasaidia ku clear hali ya hewa.
Sijakuelewa mkuu
gazeti ndilo thibisha haya au ni maoni yako?Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi, gari limeungua peke yake! Ni mchongo
Hukuwa na haja ya kutumia lugha chafu!PUMBAVU;Pua yako inathibitisha ukaribu wako na nguruwe kuliko binadamu!!
acha kujigonga gonga hapa dk Slaa hajakujibu wewe yeye kasemaHukuwa na haja ya kutumia lugha chafu!
Mbona W.Slaa kanijibu kwa busara! Jaribu kujifunza kutoka kwa viongozi wako!!
Halafu usipende tu kurukia mada, ufafanuzi wa nilichokiandia tayari nimeshautoa
sasa wana JF ni wewe peke yako?WanaJF
soma post zilizopitaWalio karibu wafuatilie hizi habari please
WanaJF,
Taarifa sahihi ni kuwa Gari la Sugu akiwepo Silinde lilikuwa kwenye msafara wangu tulipotoka ziara ya Mbeya. Tulikuwa tunarejea Dar. Majira ya saa 3 usiku tukiwa maeneo ya "kwa Mathias" kama si kosei. Tyre ilipata moto sana. Hapakuwa na tatizo lilompata Silinde kwa kuwa hapakuwa na mlipuko wa moto. Wanaojua "break jam"wataelewa vizuri kilichotokea. Kwa msaada wa Mkiti wetu wa Pwani mafundi walipatikana na kufunga au kufungua pipe ya break ya tyre husika. Ndipo tukaendelea kumalizia safari salama. Wana JF lwa safari ndefu hivyo nadhani hakuna cha ajabu kwa tukio hilo.nadhani taarifa hii itawasaidia ku clear hali ya hewa.
Hizi kampuni zinamake super normal profit!! kwa hiyo acha ziwajibike tu!!
Lilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
Lilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
WanaJF,
Taarifa sahihi ni kuwa Gari la Sugu akiwepo Silinde lilikuwa kwenye msafara wangu tulipotoka ziara ya Mbeya. Tulikuwa tunarejea Dar. Majira ya saa 3 usiku tukiwa maeneo ya "kwa Mathias" kama si kosei. Tyre ilipata moto sana. Hapakuwa na tatizo lilompata Silinde kwa kuwa hapakuwa na mlipuko wa moto. Wanaojua "break jam"wataelewa vizuri kilichotokea. Kwa msaada wa Mkiti wetu wa Pwani mafundi walipatikana na kufunga au kufungua pipe ya break ya tyre husika. Ndipo tukaendelea kumalizia safari salama. Wana JF lwa safari ndefu hivyo nadhani hakuna cha ajabu kwa tukio hilo.nadhani taarifa hii itawasaidia ku clear hali ya hewa.
Kumbe Insurance wanalipa hata Maisha ya watueee!! Maana hata Mbunge alinusurika kufa. Rejao leo unatumia nini kufikiri?
gazeti ndilo thibisha haya au ni maoni yako?
ritz hizi ni siasa tu naomba tuwe na ubinadamu siasa si uadui mkuu
Mungi,Kumbe Insurance wanalipa hata Maisha ya watueee!! Maana hata Mbunge alinusurika kufa. Rejao leo unatumia nini kufikiri?
acha kujigonga gonga hapa dk Slaa hajakujibu wewe yeye kasema
sasa wana JF ni wewe peke yako?
Who is he mpaka nijigonge kwake?