Lilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
unatumia pua yako kufikiriLilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
Wakuu tukiwa katika msiba mzito wa kuondokewa na mpendwa wetu Regia Mtema nimesikia tetesi kama hizo hapo juu, naomba mwenye taarifa atujuze na kama ni kweli kuna bundi gani tena katua chadema jamaani??!!Ee Molla tusaidie.
Nawasilisha.
Nina maanisha kuwa hiyo gari kama imelipuka, atalipwa jingine provided ana comprehensive Insurance...Sijakuelewa mkuu
Wewe unatumia nini???unatumia pua yako kufikiri
Lilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
Hizi kampuni zinamake super normal profit!! kwa hiyo acha ziwajibike tu!!Aisee!!!!!
Inaweza pia ikawa mbinu ya huyu mheshimiwa ili alipwe jingine. Si unaelewa tena yeye ni mtoto wa mjini? au umesahau alipotoka? Asili haipotei!!Mhhhh!!! what a wish???!?!......hata kama huipendi chadema, si namna hii jamani!!!!!!:shock:
Hizi kampuni zinamake super normal profit!! kwa hiyo acha ziwajibike tu!!
We jamaa kama mchwawi vile...Lilipuke tu ili Insurance companies nazo ziwajibike!!!
tusubiri ila naskia huko mikoa flani kuna uchawi wa kuagiza moto ushike at a given target