Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Kwani polisi sio watu banaaa? Nao wana haki ya kukata kiu pale panapostahili, pia hiyo kazi ya kubeba makreti ni mojawapo wa matumizi ya pick-up vehicles!
Pia inawezekana hizo crates ni evidence zinahamishiwa kituo husika, you never know, sasa kwanini utoke povu mkuu?
Pia inawezekana hizo crates ni evidence zinahamishiwa kituo husika, you never know, sasa kwanini utoke povu mkuu?