PlanckScale
JF-Expert Member
- Sep 28, 2008
- 550
- 169
- Thread starter
- #41
Tukumbuke MUISLAM kutoka Uturuki alimshoot Pope aliyepita,kidogo afe.
Maana suicide bombers wa KIISLAM wanamtarget kila siku,militant gays vilevile.
Leo hii tumesikia watu 21 wameuliwa huko IRAQ kwa jina la dini ya KIISLAM.
Huyu Papa huwezi kulinganisha na KAKOBE ,Lwakatare etc .Ni msomi mzuri wa theology,philosophy.
Hapo naona uko out of line mkuu. Kwa sasa tunadili na matatizo ya Pope kujifungia kwenye gari kwa uoga wa kufa...