Samahani wana great thinkers naomba kuuliza hivi Mh.Mnyika anaendesha gari gani?
Halafu anakuwa na Msafara wa V8 kama kumi nyuma yake wakati anaelekea saigoni kunywa kahawa na kashataVitz ya kuzugia lakini nasikia anayo V8 Shangingi.
kwani mkopo aliopewa kama mbunge hautoshi kununua V8?? acha mambo ya kidaku wewe gamba! lini utaondoa matope kichwani kwako na kufuatilia mambo ya maana??Vitz ya kuzugia lakini nasikia anayo V8 Shangingi.
Samahani wana great thinkers naomba kuuliza hivi Mh.Mnyika anaendesha gari gani?
Vitz ya kuzugia lakini nasikia anayo V8 Shangingi.
Maswali mengine bwana..............