Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,882
- 2,374
kuna gari la gas maeneo ya shangalai limetoboka tank, gas inavuja, watu wamekimbia wengine wameacha magari yao. ni kizaa zaa
kuna gari la gas maeneo ya shangalai limetoboka tank, gas inavuja, watu wamekimbia wengine wameacha magari yao. ni kizaa zaa
Shangalai ndo pande ipi mkuu
ni ARUSHA MKUU KARIBU NA TENGERU
polisi ndo wanafika sasa hivi, gas inaelekea kupungua, walio jirani na eneo wengine hawajui watoto wamekimbilia wapi.
poleni sana TBC hawakushirikishwa kuhusu viwango vya tanks? na kawaida tank huwa zinakaa kwenye buti, hiyo tank imewekwa wapi???
Mkuu sio vema ukapima ukali wa moto kwa kidole.....poleni nadhani gas ya wakati si kama ile ya zamani inayolipuka hovyo,kuna namna wameiboresha ndo maana hata majumbani mwetu hazilipuki hovyo wapunguze woga.