Wala msijali, mtu katoa mil. 10 unategemea kuna kesi hapo. Cha msingi ni kuelewa kwamba mtu anayepatwa na ishu kama hiyo (kugonga mtu then kuhonga) ujue kwamba inamkaa kwenye akili yake maisha yake yote. Watu kama hao unakuta ni watu wenye stress all the time coz ana feel guilty kwa aliyoyafanya. Watu ka hao hawanaga full hapiness. Tru story!