Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Mkuu japo sijakuelewa vizuri hapo, ila hewa, upepo na gesi asilia ni mifumo hali tu, ila hii gari inaonekana kutumia mfumo hewa kama sijakosea ndio upepo huo.
Pouwa bana labda tofauti ni lugha tu
Mkuu japo sijakuelewa vizuri hapo, ila hewa, upepo na gesi asilia ni mifumo hali tu, ila hii gari inaonekana kutumia mfumo hewa kama sijakosea ndio upepo huo.
Tofauti luga tu siyo?
mmh kwa ninavyofahamu AIR(oxygen) = HEWA ndio hii tunayoivuta wanadamu na viumbe wengine
Halafu GAS = GESI hili ni neno la ujumla ambalo hujumuisha sio oxygen tu bali hata gesi nyingine kama carbondioxide, hydrogen sulphide, mvuke wa maji, hydrogen n.k