Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,198
- 852
- Thread starter
- #21
Usihofu nilikuwa namjibu mdau alipokuwa ame-comment reasons for sale owner Fed up kwamba mtanzania hutakiwi kumwambia reason ya kuonyesha una shida vinginevyo atakushusha chini kama ananunua pikipiki kisa umemwambia una shida na ndio maana nikamwambia humu JF wengi huwa wana reason hiyo (based on previous experience) though wakati mwingine si lazima mtu ajue kwanini unauza
Got yaa...I kinda overreacted,,,