Gari gari lenye ladha nzuri ya kuendesha?

Papa Mopao

JF-Expert Member
Oct 7, 2009
4,105
2,499
Samahani lakini kwa vile nimeleta mada ya kitoto, lkn ningependa kufahamu gari ambalo dereva akiliendesha huwa anafeel utamu kuendesha gari, sasa ni gari gani wewe kwa uzoefu wako unahisi ni tamu haswa hata kama umeendesha magari 100 katika maisha yako?
 
Samahani lakini kwa vile nimeleta mada ya kitoto, lkn ningependa kufahamu gari ambalo dereva akiliendesha huwa anafeel utamu kuendesha gari, sasa ni gari gani wewe kwa uzoefu wako unahisi ni tamu haswa hata kama umeendesha magari 100 katika maisha yako?
Kila mtu anahisia tofauti utamu Wa kuendesha unatofautiana kuna watu wanapenda akiendesha akae tu astarehe asishughulike auto cruise control nk, na juna watu Kama mimi gari ilinienjoy lazima liwe manual shift big exhaust kwa performance tuned engine rest arm kwa safari Za mbali
 
Sijaona gari linalokuwa tamu ukiendesha ama wewe unamaana nyingine ?
 
Una maanisha gari kweli au hii ni tafsida? Kama kweli unamaanisha gari, kila mtu ananunua gari kulingana na uwezo wake, au anaendesha gari kulinga na aina ya marafiki alionao, maana wanaweza kumwazima. Siwezi kusema uzuri wa kwa hiyo kila mtu atakupa jibu kulinga na gari alilowahi kuendesha either la kwake au la rafiki yake. Hapo huoni kama utapata majibu mengi.
 
Ukitaka gari lenye ladha nunua tamu ni kutoka Germany! Mecedes Benz, Audi, BMW au VW ( Toureg)
 
Scania 124 Semi Trailer na hasa ikiwa na msigo mdogo kama tani 15 scania.jpeg
 
Nina enjoy nikiendesha trekta hasa likiwa limefungwa tela kubwa na lina mzigo.
 
Gari ili liwe tamu kwanza lazima uwe na hamu nalo kwa maana ya kuhamanika. Ushanifahamu? Wataka lenye turbo au 4X4? Lenye ujazo mdogo au mkubwa? Liwe na sauti wa kuliendesha au kimya kimya? Liwe refu au short chasis? Wataka la kuingiza gia au free style aka automatic?
Pia waweza kuvutiwa na rangi ati? Labda nyeusi? au chanikiwiti? Au penginepo wataka la hudhurungi au samawati yakhe. Ni jinsi tu unavyhamanika nalo
 
Samahani lakini kwa vile nimeleta mada ya kitoto, lkn ningependa kufahamu gari ambalo dereva akiliendesha huwa anafeel utamu kuendesha gari, sasa ni gari gani wewe kwa uzoefu wako unahisi ni tamu haswa hata kama umeendesha magari 100 katika maisha yako?

Mercedes Benz AMG 55
 
Back
Top Bottom