Jestina JF-Expert Member Jan 6, 2011 4,831 1,707 Jun 2, 2012 #1 inafaa kwa biashara ya Taxi na shilingi ngapi??? na pia naombeni input zenu,prons and cons za kuifanya hii biashara mie nataka kujikita uko.....
inafaa kwa biashara ya Taxi na shilingi ngapi??? na pia naombeni input zenu,prons and cons za kuifanya hii biashara mie nataka kujikita uko.....
C Chief Platinum Member Jun 5, 2006 3,291 2,619 Jun 3, 2012 #2 Tarlisha said: inafaa kwa biashara ya Taxi na shilingi ngapi??? na pia naombeni input zenu,prons and cons za kuifanya hii biashara mie nataka kujikita uko..... Click to expand... Kuna cons tu hakuna pros. Mtajirishe dereva. Haya ni mawazo yangu tu
Tarlisha said: inafaa kwa biashara ya Taxi na shilingi ngapi??? na pia naombeni input zenu,prons and cons za kuifanya hii biashara mie nataka kujikita uko..... Click to expand... Kuna cons tu hakuna pros. Mtajirishe dereva. Haya ni mawazo yangu tu
Tripo9 JF-Expert Member Sep 9, 2009 4,352 3,533 Jun 4, 2012 #3 Siku hizi ni bodaboda tu. Watu wachache sana wanapanda tax!
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,850 155,800 Jun 4, 2012 #4 Umeongea maneno ya kinywa changu, na mawazo ya kichwa changu Chief said: Kuna cons tu hakuna pros. Mtajirishe dereva. Haya ni mawazo yangu tu Click to expand...
Umeongea maneno ya kinywa changu, na mawazo ya kichwa changu Chief said: Kuna cons tu hakuna pros. Mtajirishe dereva. Haya ni mawazo yangu tu Click to expand...
N naivasha Member May 13, 2011 94 29 Jun 5, 2012 #5 Daladala + Taxi + Bajaj + Bodaboda = BP + Diabetes + Cardiovascular Deseases = Untimely Death
Maundumula JF-Expert Member Nov 4, 2010 7,553 3,070 Jun 6, 2012 #6 Biashara ngumu sana especially kama wewe ni mdada!