Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,286
- 10,667
Wanasema gari yenye zaidi ya miaka 10 huwa inatozwa gharama zaidi inapoingizwa nchini.Sasa utajuaje kuwa hili gari ni la zamani limezidi miaka kumi.?
Assumption ni kuwa unaagiza gari nje ya nchi, wauzaji huwa wanaweka mwaka wa gari ilipotengenezwa na mwaka wa gari iliposajiliwa, kwa hiyo wewe angalia mwaka wa ilipotengenezwa...kwa kurahisisha hata tangazo la gari huwa linaanza na mwaka wa gari ilipotengenezwa, mfano "2006 Toyota iSt ..." , na likifika watu wa bandari wanalikagua kwa kuangalia vibandiko kwenye mikanda (seat belts) ambapo mwaka wa gari kutengenezwa huandikwa na pia wanaangalia VIN (vehicle identification number) ambayo hata wewe unaweza kuangalia kupitia website mbalimbali kujihakikishia kama gari hilo ni la mwaka unaotajiwa na muuzaji...ila njia rahisi ni hiyo ya kuangalia prescription iliyotolewa na muuzaji (wengi wanatoa exact date kuepuka kitu kinaitwa misrepresentation)Wanasema gari yenye zaidi ya miaka 10 huwa inatozwa gharama zaidi inapoingizwa nchini.Sasa utajuaje kuwa hili gari ni la zamani limezidi miaka kumi.?
Hii inakuwa na bei gani kima cha juu na chachini? Nimependa hii!Kama una familia ya kiarabu mkuu nunua voxy inabeba wote mpaka dada yao
Bei yake inakuwaje kwa kima cha juu na cha chini?Mkuu hayo yote magari yaliyotanjwa hakuna hata moja family car mkuu. Gari ya family na ambayo inaimili halisi ya barabara za kwetu na spears zake zinapatikana kwa urais na pia ni rais sana kuliuza kama umechoka kulitumia .lipo sokoni sana mkuu ni Toyota Noah model 1999.hii car sisi macardeal tunaiita roho ya paka ni gari ngumu sana na hata mafuta inatumia vizuri sana
Mkuu tafuta 18 upate no d mkuu blackHuu mzigo naumaindi sana yaani...bonge la gari ...sema bei yake sasa ndo kisu
N kweli kabisa,,, mm nilitumia hivyo xmas ya mwaka juzMkuu tafuta Carina Ti. Huwezi kuamini niliweka full tank lita 50 kutoka moshi nimefika dar bado mafuta yapo juu ya robo tank. Ti ni cc 1490
Usije kununua carina Si
hahahahaha unatishaKama una familia ya kiarabu mkuu nunua voxy inabeba wote mpaka dada yao
Siti za katikati vipi watu warefu kama wadatch wanakaa confortable.Akuna ngoma Kali kama Toyota ist....cc 1300 utake nn sasa apo kingine, ata ukitAka kwenda bafun unapiga starter...
Huna jinsi kwa bajeti yako hii chukua hiii garii... Angalau kwa familia zetu za kiafika na .... Ila usiwe mtu wa kufunguka sana kwenye kona na hii gari ... Tutakusahau mkuuWakuu wajuzi wa JF,
Naombeni mnishauri mimi na wadau wengine watajifunzia hapa. Mwaka jani niliagiza Chaser GX 100,C.C 2300 ya kuanzia maisha,kiukweli nilikurupuka sana wadau.
Wese lilikuwa linachuruzika balaa,sometimes nalazimika kupaki! Sasa naja kwenu kwa unyenyekevu kijana wenu mnipe ushauri ni gari gani poa ya kifamilia inayofaa,in terms of spare parts na fuel consumption.
Nina bajeti ya Shs.8,000,000!
Asanteni wadau
ha ha haa kweli aisee, ila kuna wengine wanataka kununua gari leo kwa hiyo kwa faida yao ndio ushauri unendelea kutolewaHivi bado mnatoa tu ushauri kwenye hii post ya mwaka 2014??
Mkuu Kibirizi, Toyota Allion kutoka Japan to Dar hadi ninaishika mkononi inaweza kunila bei gani?Zipo nyingi Toyota IST cc 1300/1500, Toyota CarinaTi cc 1500, Toyota Runx cc 1500, Toyota Allex cc 1500 ila kama unaweza ogeza kama 2mln chukua Toyota Allion 1500cc. Hizo zote mjini kwenye foleni zinakula 1ltr/11km na highway ni 1ltr/16km.