Garama na matumizi ya ovyo kwa kina dada

Dr wa ukweli

JF-Expert Member
Feb 28, 2011
900
264
Naamini kabisa starehe ni gharama lakini siku hizi wakina dada (wepenzi wetu) wamezidi kutunyonya yeye siyo mke wangu siyo mwanangu wala siyo mama yangu lakini invoice/bill yake kwa mwezi ni kubwa kuliko ya mtu mwinge je nitakapo muoa itakuwaje!

wakina dada muwe na huruma kidogo mimi saloon kwa mwezi natumia 4,500/= yeye zaidi ya 45,000/=
mama yangu mzazi namtumia 20,000/= kwa mwezi kijijini huyu demu anataka zaidi ya 200,000/= za matumizi yake binafsi

mimi navaa kiatu kimoja kwa mwaka yeye kila mwezi anataka kiatu kipya na pamba mpya


bado hujaweka mafuta, perfum, sabuni, outing (knye kunywa atagiza vya bei ya juu hata kama hajawah kuviona) , nk
pengine hata kipato changu anakijua lakini atakavyo kubana hadi sent ya mwisho.

JAMANI MTATUUWA KABLA YA WAKATI TUNACHOKA BASI TU HATUSEMI TUNAKUFA NA KITANZI SHINGONO MUWE NA UTU WA UBINADAMU
 
Inawezekana amekuona huna nia njema na yeye ndo maana ameona ale chake aende zake, cku ukichoka wala hatalaumu. Maana ninavyojua mie na uelewa wangu mdogo, mapenzi sio biashara. kwani yeye hana shughuli inayomuingizia kipato hadi wewe uprovide kila kitu? maana hata kama hana shughuli, ni bora umtafutie kitu cha kufanya (kama unaona ni wa future) ili asikiusumbue ni vimatumizi vya 45,000, mara 200,000/ ambazo ni pesa ndogo sana hizo kuharibu utu au uaminifi kati yenu. Cha msingi we mtafutie business afanye ili nawe usiwe analalamika matumizi yake naye hataomba labda kwa dharula.








Naamini kabisa starehe ni gharama lakini siku hizi wakina dada (wepenzi wetu) wamezidi kutunyonya yeye siyo mke wangu siyo mwanangu wala siyo mama yangu lakini invoice/bill yake kwa mwezi ni kubwa kuliko ya mtu mwinge je nitakapo muoa itakuwaje!

wakina dada muwe na huruma kidogo mimi saloon kwa mwezi natumia 4,500/= yeye zaidi ya 45,000/=
mama yangu mzazi namtumia 20,000/= kwa mwezi kijijini huyu demu anataka zaidi ya 200,000/= za matumizi yake binafsi

mimi navaa kiatu kimoja kwa mwaka yeye kila mwezi anataka kiatu kipya na pamba mpya


bado hujaweka mafuta, perfum, sabuni, outing (knye kunywa atagiza vya bei ya juu hata kama hajawah kuviona) , nk
pengine hata kipato changu anakijua lakini atakavyo kubana hadi sent ya mwisho.

JAMANI MTATUUWA KABLA YA WAKATI TUNACHOKA BASI TU HATUSEMI TUNAKUFA NA KITANZI SHINGONO MUWE NA UTU WA UBINADAMU
 
Inawezekana amekuona huna nia njema na yeye ndo maana ameona ale chake aende zake, cku ukichoka wala hatalaumu. Maana ninavyojua mie na uelewa wangu mdogo, mapenzi sio biashara. kwani yeye hana shughuli inayomuingizia kipato hadi wewe uprovide kila kitu? maana hata kama hana shughuli, ni bora umtafutie kitu cha kufanya (kama unaona ni wa future) ili asikiusumbue ni vimatumizi vya 45,000, mara 200,000/ ambazo ni pesa ndogo sana hizo kuharibu utu au uaminifi kati yenu. Cha msingi we mtafutie business afanye ili nawe usiwe analalamika matumizi yake naye hataomba labda kwa dharula.

anaupendo sana kwangu hata kwa ndugu zangu hadi ndugu zake wanajua ni mtu wangu pamoja na mama yake ananijua sana, bness nimemfungulia hakuwa siriaz nayo na haina faida natamani nayo niifunge, coz bness nimemfungulia bado pesa za matumizi nampa hadi ped
 
Kama ana kazi au chochote kinachomwingizia pesa inawezekana anakukomoa!Sijui kama hua anakuulizaga au unampa tu mwenyewe ila anza kwa kupunguza kiasi unachompa!Ikitokea akakuuliza mbona zimepungua mwambie imekubidi kupunguza kidogo kwasababu kuna mambo mengine unahitaji kufanya au umefikiria kuweka akiba kwa faida yenu hapo baadae!Kama ana malengo na wewe atakuelewa...asipokuelewa jua wewe ni ATM tu na huo ndo utakua muda mzuri kumwambia ATM is no more!
 
Naamini kabisa starehe ni gharama lakini siku hizi wakina dada (wepenzi wetu) wamezidi kutunyonya yeye siyo mke wangu siyo mwanangu wala siyo mama yangu lakini invoice/bill yake kwa mwezi ni kubwa kuliko ya mtu mwinge je nitakapo muoa itakuwaje!

wakina dada muwe na huruma kidogo mimi saloon kwa mwezi natumia 4,500/= yeye zaidi ya 45,000/=
mama yangu mzazi namtumia 20,000/= kwa mwezi kijijini huyu demu anataka zaidi ya 200,000/= za matumizi yake binafsi

mimi navaa kiatu kimoja kwa mwaka yeye kila mwezi anataka kiatu kipya na pamba mpya


bado hujaweka mafuta, perfum, sabuni, outing (knye kunywa atagiza vya bei ya juu hata kama hajawah kuviona) , nk
pengine hata kipato changu anakijua lakini atakavyo kubana hadi sent ya mwisho.

JAMANI MTATUUWA KABLA YA WAKATI TUNACHOKA BASI TU HATUSEMI TUNAKUFA NA KITANZI SHINGONO MUWE NA UTU WA UBINADAMU

Kweli vijana wa siku hizi ni wap**zi sana... yaani ushaona huyo demu ni kupe na bado unamrunusu mwenyewe aendelee kukunyonya :A S 13: sasa unataka ushauri wa nini??????? :rain::rain:
 
anaupendo sana kwangu hata kwa ndugu zangu hadi ndugu zake wanajua ni mtu wangu pamoja na mama yake ananijua sana, bness nimemfungulia hakuwa siriaz nayo na haina faida natamani nayo niifunge, coz bness nimemfungulia bado pesa za matumizi nampa hadi ped
Watu wanaolewa na kuzaa kwaajili ya pesa tu we unababaika na kufahamika kwao?Tumia pesa hizo hizo kujua anachotaka kwako ni nini!
 
Kweli vijana wa siku hizi ni wap**zi sana... yaani ushaona huyo demu ni kupe na bado unamrunusu mwenyewe aendelee kukunyonya :A S 13: sasa unataka ushauri wa nini??????? :rain::rain:

ni mzuri sana kila kitu anafanya sawa na ni mkarimu wa hali ya juu kwangu hata kwa ndugu na jamaa wengine, knye mechi nimepita sehemu nyingi sana ila mechi yake ni yakiwango cha juu sana ila tatizo ndio hapo knye cash na matumizi tu pananikera
 
ni mzuri sana kila kitu anafanya sawa na ni mkarimu wa hali ya juu kwangu hata kwa ndugu na jamaa wengine, knye mechi nimepita sehemu nyingi sana ila mechi yake ni yakiwango cha juu sana ila tatizo ndio hapo knye cash na matumizi tu pananikera

Ongea nae vizuri my dia..ila kama hafikirii bdae,it will take time kwake kuelewa.
 
ni mzuri sana kila kitu anafanya sawa na ni mkarimu wa hali ya juu kwangu hata kwa ndugu na jamaa wengine, knye mechi nimepita sehemu nyingi sana ila mechi yake ni yakiwango cha juu sana ila tatizo ndio hapo knye cash na matumizi tu pananikera


INAONEKANA UNAMPENDA KWA KILA KITU TATIZO HAPO KWENYE RED inawezekana ndio mapungufu yake yalipo jitahidi kukaa nae umweleze na mipango yanu ya baadae



 
[/COLOR]

INAONEKANA UNAMPENDA KWA KILA KITU TATIZO HAPO KWENYE RED inawezekana ndio mapungufu yake yalipo jitahidi kukaa nae umweleze na mipango yanu ya baadae



huwa tunaongea vizuri then anapotezea ikipita wiki anarudia palepale money money money, kumpenda nampenda kama angekuwa hapend cash angekuwa mwanamke mzuri kupita maelezo
 
Hivi kwa nini kijana unauwezo wa kumgharamia binti fedha zote hizo na huku unampenda halafu hutaki kuoa? punguzeni fikra potofu kuwa kuoa kunarudisha nyuma maendeleo au ni kikwazo kwa mambo yako. Kama binti umempenda na umeridhika nae ni heri kumoa kwani kuna faida nyingi za kuishi na mke kuliko kuwa na binti kama kimada. Nakushauri kama huyo binti umeridhika nae kama unavyo-jieleza muoe na hizo gharama hutaziona kwani atakuwa ni sehemu ya maisha yako.
 
Utampa mpaka payslip na bado ataenda nje ukome. Aliyekwambia kupenda ni kutoa sana nani? Tatizo mwenyewe unatoa halafu unasema usijali zikiisha niambie sasa unalalamika nn? Jikaze kisabuni.
 
Utampa mpaka payslip na bado ataenda nje ukome. Aliyekwambia kupenda ni kutoa sana nani? Tatizo mwenyewe unatoa halafu unasema usijali zikiisha niambie sasa unalalamika nn? Jikaze kisabuni.

kaka mimi ni bahili sana, ila ndio ule usumbufu wa kutaka kila wakati
 
Naamini kabisa starehe ni gharama lakini siku hizi wakina dada (wepenzi wetu) wamezidi kutunyonya yeye siyo mke wangu siyo mwanangu wala siyo mama yangu lakini invoice/bill yake kwa mwezi ni kubwa kuliko ya mtu mwinge je nitakapo muoa itakuwaje!

wakina dada muwe na huruma kidogo mimi saloon kwa mwezi natumia 4,500/= yeye zaidi ya 45,000/=
mama yangu mzazi namtumia 20,000/= kwa mwezi kijijini huyu demu anataka zaidi ya 200,000/= za matumizi yake binafsi

mimi navaa kiatu kimoja kwa mwaka yeye kila mwezi anataka kiatu kipya na pamba mpya


bado hujaweka mafuta, perfum, sabuni, outing (knye kunywa atagiza vya bei ya juu hata kama hajawah kuviona) , nk
pengine hata kipato changu anakijua lakini atakavyo kubana hadi sent ya mwisho.

JAMANI MTATUUWA KABLA YA WAKATI TUNACHOKA BASI TU HATUSEMI TUNAKUFA NA KITANZI SHINGONO MUWE NA UTU WA UBINADAMU
Chapa then Kimbia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom