Ganja ni kwere

pitbull

JF-Expert Member
Sep 22, 2011
592
178
kuna jamaa kichakani walikuwa wanavuta bangi wakavuuta mpaka kiberiti kikaisha ikabidi wamtume mmoja wao akatafute kiberiti jamaa akazunguka kile kichaka akarudi pale pale kwa washkaji akawauliza mazee mna kiberiti jamaa wakajibu kuna mtu tumemtuma anakuja cc hivi!!
 
kuna jamaa kichakani walikuwa wanavuta bangi wakavuuta mpaka kiberiti kikaisha ikabidi wamtume mmoja wao akatafute kiberiti jamaa akazunguka kile kichaka akarudi pale pale kwa washkaji akawauliza mazee mna kiberiti jamaa wakajibu kuna mtu tumemtuma anakuja cc hivi!!
Kweli ndumu ni noma..!!
 
kuna jamaa kichakani walikuwa wanavuta bangi wakavuuta mpaka kiberiti kikaisha ikabidi wamtume mmoja wao akatafute kiberiti jamaa akazunguka kile kichaka akarudi pale pale kwa washkaji akawauliza mazee mna kiberiti jamaa wakajibu kuna mtu tumemtuma anakuja cc hivi!!
hii sio bhangi hawa wamerogwa
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom