pitbull
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 592
- 178
kuna jamaa kichakani walikuwa wanavuta bangi wakavuuta mpaka kiberiti kikaisha ikabidi wamtume mmoja wao akatafute kiberiti jamaa akazunguka kile kichaka akarudi pale pale kwa washkaji akawauliza mazee mna kiberiti jamaa wakajibu kuna mtu tumemtuma anakuja cc hivi!!