jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Ni muda sasa, toka music yetu ianze kuchukuliwa kwa umakini na hata kuundiwa harakati..
Ni vizuri, napongeza!
Ningependa kuchukua fursa hii kukumbushia kidogo harkati za hii game ya music (hasa hiphop)...
Miaka ya 90's hasa 94, mvumo ulisikika.....
TMK, kulikuwa kuna washikadau GWM.... hawa watu haijalishi kwa sasa wanapwaya kiasi gani bado wana nafasi kubwa katika kumbukumbu...
Bado kwa kutokea TMK kuna jmbe limepotea midomoni mwa watu..... Chief Ramson aka Zavara...
Wakijitandaza vilivyo kwenye game na wana wa KWANZA UNIT.... Heshima za kwanza marazote ni muhimu kwenda kwa Bonny Love!
Japo alifanya sampling kwenye beat zake ila halikuonekana la muhimu sababu vocal na message katika pini ndio kilikuwa kikubwa......
Sugu ataendelea kuwa Sugu kwani aliweka alama ya kwanza katika game kwa kuwa EMCEE (sipendi kutumia jina msanii) wa kufanya "press conference" hapo mwaka 1995...
Mengi yalitokea, na wengi walirap japo kwa wakati ule lakini, KWANZA UNIT walibaki kuwa ndio vinara katika uwasilishaji wa kile wengi tunachokiita "real hiphop".
Mwaka 1997 ikiwa bado imedhihirika kwamba unaposema hiphop ya hapa home unazungumzia KWANZ UNIT... kuna kitu kilibadili historia...
Hata hapo pamoja na uwepo wa washikaji toka Diplomat,
Talent show zilikuwa zikiendelea kama kawa maenea mbali mbali japo hichi ktu kimekosa uendelebu kwa sasa, lakini Talent show babkubwa ilikuwa ile ya "Gogo hotel" (kipindi hicho).....
Kilichotokea siku hiyo ni tukio la KWANZA UNIT kukubali kushindwa na kumpisha kiti "HASHIMU DOGO".
Ndio, hapo ndio kuonekana kwa mtu ambaye tuliyemtambua kama "Bongo Psychology" aka Hashimu Dogo...
Hii ilikuwa ni halali hata Stevie B (wa clouds fm) kipindi hicho yupo na wenzake wa "Undergound souls" walikubali.....
Na huu ndio ulikuwa mwanzo wa historia "Kikosi cha Mizinga" (tutacheki next time)
Track rasmi ambazo amepata kufanya Hashimu ni pamoja na "Tunasonga" na "Behind the shadow"...
Pata wasaa wa kusikiliza pini hizo mbili japo najua ni ngumu sana kupatikana rediono kwa sasa (nao ni mjadala mwingine)
Ni ukweli usiopingika kuwa bado mpaka sasa hapajatokea EMCEE wa kushika na kuziba nafasi ya Hashimu Dogo hata kuondoka kwake KIKOSINI hapo mwaka 2006 dio miongoni mwa sababu za msingi za kudorora kwa kikosi cha mizinga!
Mlolongo wa matukio katika GAME yetu ni mrefu lakini japo kwa wasaa huu tu.....
Tutaendelea..!
Hii ni strictly kwa wapenzi wa hiphop kwa ujumla........ USIZINGUE.....
Ni vizuri, napongeza!
Ningependa kuchukua fursa hii kukumbushia kidogo harkati za hii game ya music (hasa hiphop)...
Miaka ya 90's hasa 94, mvumo ulisikika.....
TMK, kulikuwa kuna washikadau GWM.... hawa watu haijalishi kwa sasa wanapwaya kiasi gani bado wana nafasi kubwa katika kumbukumbu...
Bado kwa kutokea TMK kuna jmbe limepotea midomoni mwa watu..... Chief Ramson aka Zavara...
Wakijitandaza vilivyo kwenye game na wana wa KWANZA UNIT.... Heshima za kwanza marazote ni muhimu kwenda kwa Bonny Love!
Japo alifanya sampling kwenye beat zake ila halikuonekana la muhimu sababu vocal na message katika pini ndio kilikuwa kikubwa......
Sugu ataendelea kuwa Sugu kwani aliweka alama ya kwanza katika game kwa kuwa EMCEE (sipendi kutumia jina msanii) wa kufanya "press conference" hapo mwaka 1995...
Mengi yalitokea, na wengi walirap japo kwa wakati ule lakini, KWANZA UNIT walibaki kuwa ndio vinara katika uwasilishaji wa kile wengi tunachokiita "real hiphop".
Mwaka 1997 ikiwa bado imedhihirika kwamba unaposema hiphop ya hapa home unazungumzia KWANZ UNIT... kuna kitu kilibadili historia...
Hata hapo pamoja na uwepo wa washikaji toka Diplomat,
Talent show zilikuwa zikiendelea kama kawa maenea mbali mbali japo hichi ktu kimekosa uendelebu kwa sasa, lakini Talent show babkubwa ilikuwa ile ya "Gogo hotel" (kipindi hicho).....
Kilichotokea siku hiyo ni tukio la KWANZA UNIT kukubali kushindwa na kumpisha kiti "HASHIMU DOGO".
Ndio, hapo ndio kuonekana kwa mtu ambaye tuliyemtambua kama "Bongo Psychology" aka Hashimu Dogo...
Hii ilikuwa ni halali hata Stevie B (wa clouds fm) kipindi hicho yupo na wenzake wa "Undergound souls" walikubali.....
Na huu ndio ulikuwa mwanzo wa historia "Kikosi cha Mizinga" (tutacheki next time)
Track rasmi ambazo amepata kufanya Hashimu ni pamoja na "Tunasonga" na "Behind the shadow"...
Pata wasaa wa kusikiliza pini hizo mbili japo najua ni ngumu sana kupatikana rediono kwa sasa (nao ni mjadala mwingine)
Ni ukweli usiopingika kuwa bado mpaka sasa hapajatokea EMCEE wa kushika na kuziba nafasi ya Hashimu Dogo hata kuondoka kwake KIKOSINI hapo mwaka 2006 dio miongoni mwa sababu za msingi za kudorora kwa kikosi cha mizinga!
Mlolongo wa matukio katika GAME yetu ni mrefu lakini japo kwa wasaa huu tu.....
Tutaendelea..!
Hii ni strictly kwa wapenzi wa hiphop kwa ujumla........ USIZINGUE.....