Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Hawa walikuwa miongoni mwa Selebreti wakubwa wa JF, Wako wapi? Binafsi nime miss sana michango yako. Kama mmebadilisha majina, naombeni mni PM pse.
Kitila
Kitila
Kitila, ni kweli sio tu wewe unawamiss, JF is not the same without them, kwa upande wangu kama Mzee Mwanakijiji anapoamuaga kuchukua vakasheni, mijadala inakuwa not the same.Hawa walikuwa miongoni mwa Selebreti wakubwa wa JF, Wako wapi? Binafsi nime miss sana michango yako. Kama mmebadilisha majina, naombeni mni PM pse. Kitila
Blog gani mkuu! Kweli hawa wakuu wamepotea sana.Game Theory tulikuwa tunaandika nae kwenye blog moja, mara kapotea. Field Marshal nimeona wakati wa uchaguzi aliandika mara moja au mbili.
Mchango wao unakumbukwa na wengi tulikuwa jukwaani kwa muda.
Hakika huyu GT sijaona michango yake siku nyingi na alikuwa analeta chalenge sana...Mfano siku ya mabomu ya mbagalaHawa walikuwa miongoni mwa Selebreti wakubwa wa JF, Wako wapi? Binafsi nime miss sana michango yako. Kama mmebadilisha majina, naombeni mni PM pse.
Kitila
wewe nawe....angrrrr...JF itakuwa JF bila wao......kama wameamua kuchukua time zao inawahusu nini nyie?.........may be wamesha no more..so pigeni kimya...walikuja kimya na wameondoka kimya kimya.....Kitila, ni kweli sio tu wewe unawamiss, JF is not the same without them, kwa upande wangu kama Mzee Mwanakijiji anapoamuaga kuchukua vakasheni, mijadala inakuwa not the same.
kwa january makamba......Blog gani mkuu! Kweli hawa wakuu wamepotea sana.
Nilijua tu lazima uchangie...unapenda kujua jua watu weye....utakuwa shori tu...Namkumbuka na mtu mwingine alikuwa akiitwa Veracity!...Sijajua kama amebadili jina au ndo amebadili mtazamo juu ya JF!...
Nilijua tu lazima uchangie...unapenda kujua jua watu weye....utakuwa shori tu...
Nilijua tu lazima uchangie...unapenda kujua jua watu weye....utakuwa shori tu...