Superman na wengineo.Ninawashukuru wote,Superman kwa kuanzisha thread hii na wote walionipendekeza katika hatua za awali mpaka hatua ya kunipigia kura.Nawashukuru sana.
Binafsi huwa ninapenda mashindano ya aina yeyote ile ili mradi tu yafuate taratibu na kanuni.Niliona na kufuatilia tangu mchakato ulipofikia hatua ya kupigiwa kura za kupata mshindi.Ofcoz niliona mapungufu kadhaa lakini by then nilikuwa nimeshachelewa lakini nitayaweka wazi baaaye kwaajili ya kusadia michakato kama hii kwa siku zijazo.Shindano lilikuwa dogo laikni limeleta changamoto kadhaa,linahuisha JF na hata chipukizi wengine wanapata morale,wawe wanaume au wanawake.Binafsi nilifurahi nilipopendekezwa and am still proud of it.
Nimesoma mawazo ya Gaijin kuhusiana na mtazamo wake kuhusu tuzo.Amependekeza mimi ndio nipewe tuzo ya shindano hili.Kwa kuwa aliyependekeza naye ni mshindi basi nami nikiwa kama mwanasiasa ninayeamini katika mashindano mbalimbali na kama mwanaharakati wa masuala ya jinsia na ulemavu,nilnayeamini maana halisi ya mfumo dume,Ninaipokea tuzo hii ya shilingi laki moja kwa mikono miwili na kwa heshima na taadhima.
Superman.Naomba zawadi hiyo umkabidhi Maxence kama mchango wangu kwa JF...please fikisha.
Nashukuru sana kuwa JF Woman of the year 2010.
Aluta continua
Mkuu Regia;
I salute you in the name of mapambano!
You have Said it all. Ukisusa wenzio walaaaa. Maalimu Seif safari hii pia alishtuka bora tule wote!
With due respect. We will comply. Maxence upo?
Amandla mpiganaji wa Jinsia, Ubaguzi aina zote na Umaskini wa Ukweli
umenikosha kwenye hiyo signature, mangwale wanasema wanakupenda pia!
Superman na wengineo.Ninawashukuru wote,Superman kwa kuanzisha thread hii na wote walionipendekeza katika hatua za awali mpaka hatua ya kunipigia kura.Nawashukuru sana.
Binafsi huwa ninapenda mashindano ya aina yeyote ile ili mradi tu yafuate taratibu na kanuni.Niliona na kufuatilia tangu mchakato ulipofikia hatua ya kupigiwa kura za kupata mshindi.Ofcoz niliona mapungufu kadhaa lakini by then nilikuwa nimeshachelewa lakini nitayaweka wazi baaaye kwaajili ya kusadia michakato kama hii kwa siku zijazo.Shindano lilikuwa dogo laikni limeleta changamoto kadhaa,linahuisha JF na hata chipukizi wengine wanapata morale,wawe wanaume au wanawake.Binafsi nilifurahi nilipopendekezwa and am still proud of it.
Nimesoma mawazo ya Gaijin kuhusiana na mtazamo wake kuhusu tuzo.Amependekeza mimi ndio nipewe tuzo ya shindano hili.Kwa kuwa aliyependekeza naye ni mshindi basi nami nikiwa kama mwanasiasa ninayeamini katika mashindano mbalimbali na kama mwanaharakati wa masuala ya jinsia na ulemavu,nilnayeamini maana halisi ya mfumo dume,Ninaipokea tuzo hii ya shilingi laki moja kwa mikono miwili na kwa heshima na taadhima.
Superman.Naomba zawadi hiyo umkabidhi Maxence kama mchango wangu kwa JF...please fikisha.
Nashukuru sana kuwa JF Woman of the year 2010.
Aluta continua
hongereni jamani, mwaka huu nami nitaingia ktk kinyang'anyiro hiki naona mambo yake si mabaya. congrats
hata mimi siamini gaijin ni mwenzangu loh nimejua leogreat thinkers!! Are these people really women?
You may end up calling a man jf woman of the year!!
Hope you understand what i mean.
Just remember that we have very few ppl who use their real names here.
mwaka huu ashadii usipopokea kombe sijui?
hakuna Man of the year na infidel of the year as well?
hata mimi siamini gaijin ni mwenzangu loh nimejua leo
Hata Mimi nitashangaa,nimejiandaa kumuachian Taji.Mchakato utafanyika lini au ndio mpaka Disemba?
Vinci, ni kweli msiba huu unatuungasha zaidi huku tukizidi kufahamiana zaidi.aiiii...kumbe Gaijin ni she....poor me..always consider her gender as He and not she kutokana na michango yake kuegemea mfumo dume...i was wrong....baada ya msiba jinsia za baadhi ya members zimejulikana..1. Malaria Sugu 2. Gaijin 3........