Gaijin na Regia: JF Women of the Year 2010

Status
Not open for further replies.
Gaijin;

Mimi na wewe hatuwezi kujua sababu ngoja aje hapa atatueleza. Labda ni vile unakata sana issue zaidi ya "He's"

Tuyaache hayo:

Sasa gaijini kuna Zawadi zenu. Kuna njia mbili za kupata TZS 50K yako. unaweza ukani-PM tukakubaliana jinsi ya kuchukua zawadi yako kisha unakuja ku-confirm hapa kuwa ualiipata. Wasije dhani nimechakachua.

Pili kama uanataka naweza kumpatia Maxence kisha ukachukua huko na kuja kufanya confirmation Jamvini kuwa umepata.

karibu Gaijin na Regia Mtema.

Shukuran kwako na kwa wale wote waliojitokeza hadi kufanikisha zowezi zima la upigaji kura.

Ningependa tuzo hiyo apewe Regia Mtema kwa sababu

Mimi siamini kwenye 'nafasi/upendeleo maalum' kwa wanawake. Iwe katika siasa au katika jamii. Naamini kuwa katika masuala yasiyohusisha maumbile ya mwanamke na mwanamme basi jinsia zote mbili zinatakiwa kutizamwa kwa jicho moja. Poll maalum kwa wanawake haionyeshi kutambua kwamba michango ya wanawake na wanaume ina thamani sawa kwenye jamvi hili.

Katika kupinga mfumo dume

Gaijin :)
 
Ningependa tuzo hiyo apewe Regia Mtema kwa sababu

Mimi siamini kwenye 'nafasi/upendeleo maalum' kwa wanawake. ...... Poll maalum kwa wanawake haionyeshi kutambua kwamba michango ya wanawake na wanaume ina thamani sawa kwenye jamvi hili. .....

Labda Superman anaweza kutuambia kwa kutofautisha kati ya wanawake na wanaume kwenye hii poll alikusudia nini. Mfume dume umeshika mizizi kiasi kwamba kuna gender issues nyingi sana hatuwezi 'kuziona'!
 
Matokeo ya zoezi hili pamoja na kwamba sikushiriki kupiga kura, nayakubali. Walioshinda wanastahili.

Hongereni akina dada!!
 
hongereni jamani, mwaka huu nami nitaingia ktk kinyang'anyiro hiki naona mambo yake si mabaya. congrats
 
shukuran kwako na kwa wale wote waliojitokeza hadi kufanikisha zowezi zima la upigaji kura.

Ningependa tuzo hiyo apewe regia mtema kwa sababu

mimi siamini kwenye 'nafasi/upendeleo maalum' kwa wanawake. Iwe katika siasa au katika jamii. Naamini kuwa katika masuala yasiyohusisha maumbile ya mwanamke na mwanamme basi jinsia zote mbili zinatakiwa kutizamwa kwa jicho moja. Poll maalum kwa wanawake haionyeshi kutambua kwamba michango ya wanawake na wanaume ina thamani sawa kwenye jamvi hili.

Katika kupinga mfumo dume

gaijin :)

uko sahihi kabisa ma mdogo. I will back you wherever you go with this in mind. The fight against mfumo dume need to be strategic and consistent. Any wisely designed financial and non-financial prize at the expense of spearheading this movement should be handled with utmost care
 
Shukuran kwako na kwa wale wote waliojitokeza hadi kufanikisha zowezi zima la upigaji kura.

Ningependa tuzo hiyo apewe Regia Mtema kwa sababu

Mimi siamini kwenye 'nafasi/upendeleo maalum' kwa wanawake. Iwe katika siasa au katika jamii. Naamini kuwa katika masuala yasiyohusisha maumbile ya mwanamke na mwanamme basi jinsia zote mbili zinatakiwa kutizamwa kwa jicho moja. Poll maalum kwa wanawake haionyeshi kutambua kwamba michango ya wanawake na wanaume ina thamani sawa kwenye jamvi hili.

Katika kupinga mfumo dume

Gaijin :)

Binafsi nakubaliana na mawazo yako ya kupinga mfumo dume,lakini kauli ya kusema apewe Regia eti kwa sababu haukubaliani na suala la mwanamke kupewa upendeleo kisa jinsia yake mie naona hajikaa njema(Implication sio nzuri na haujatatua tatizo).Pili kulipongeza zoezi na kukataa zawadi unakuhaueleweki,nafikiri ingekuwa Bora zaidi kama utachukua zawadi kisha ukashauri utaratibu mzuri wa kuufanikisha mchakato huu kwa siku za usoni,angalau ukaheshimu nguvu ambazo jamaa walizitumia katika kulifanikisha hili
 
Binafsi nakubaliana na mawazo yako ya kupinga mfumo dume,lakini kauli ya kusema apewe Regia eti kwa sababu haukubaliani na suala la mwanamke kupewa upendeleo kisa jinsia yake mie naona hajikaa njema(Implication sio nzuri na haujatatua tatizo).Pili kulipongeza zoezi na kukataa zawadi unakuhaueleweki,nafikiri ingekuwa Bora zaidi kama utachukua zawadi kisha ukashauri utaratibu mzuri wa kuufanikisha mchakato huu kwa siku za usoni,angalau ukaheshimu nguvu ambazo jamaa walizitumia katika kulifanikisha hili

Kwa kuheshimu nguvu na dedication iliyochukuliwa kufanikisha zowezi ndio nimetoa pongezi zangu kwenu.

Kuwa sikubaliani na dhana ya mfumo dume iliyojitokeza kwenye zowezi hili, nilikwisha toa maoni na msimamo wangu kabla ya zowezi kuanza.

Na hatua niliyochukua ni kutoshiriki kikamilifu kwa kutopiga kura yangu kwenye zowezi lililoendeshwa.

Iwapo kama kuna tuzo inapaswa kutolewa, basi ni bora tuzo ile apewe anaeamini kwenye tuzo hiyo.
 
Kwa kuheshimu nguvu na dedication iliyochukuliwa kufanikisha zowezi ndio nimetoa pongezi zangu kwenu.

Kuwa sikubaliani na dhana ya mfumo dume iliyojitokeza kwenye zowezi hili, nilikwisha toa maoni na msimamo wangu kabla ya zowezi kuanza.

Na hatua niliyochukua ni kutoshiriki kikamilifu kwa kutopiga kura yangu kwenye zowezi lililoendeshwa.

Iwapo kama kuna tuzo inapaswa kutolewa, basi ni bora tuzo ile apewe anaeamini kwenye tuzo hiyo.

Gaijin;

with due respect not at this time na wala si kwa kulazimisha.

Ni kweli nje ya thread ya kupiga kura tuliwahi kujadili kama kuwe na category ya kike na kiume na hatimaye concessus ilikuwa tuwe na category mbili. MKJJ na WoS walkiwahi kujitoa na sababu zao walieleza na zilikubalika. Hukuwahi kuomba kujitoa.

While we respect uamuzi wako lakin at this time it does not make any sense. Afterall hili zoezi is not that much official ni thread kama thread nyingine.

Nadhani watu wanapokukubali na kukuheshimu mchango wako na kukupa kura, show them respect by accepting their decision. I believe katika Suala la mfumo dume na kike Regia kaonyesha mfano wa vitendo. But this has got no any relationship. Let us be fair.
 
uko sahihi kabisa ma mdogo. I will back you wherever you go with this in mind. The fight against mfumo dume need to be strategic and consistent. Any wisely designed financial and non-financial prize at the expense of spearheading this movement should be handled with utmost care

MJ zawadi zimetolewa kwa uwiano sawa bila kutazama makundi.

Shindano hili has got naothing ya spearhead jinsia instead ni kutambua mchango wa makundi yote.

It is up to the concerned kuangalia kama "is the Glass Half Full or Half Empty". Ni suala la mtazamo tu.
 
Binafsi nakubaliana na mawazo yako ya kupinga mfumo dume,lakini kauli ya kusema apewe Regia eti kwa sababu haukubaliani na suala la mwanamke kupewa upendeleo kisa jinsia yake mie naona hajikaa njema(Implication sio nzuri na haujatatua tatizo).Pili kulipongeza zoezi na kukataa zawadi unakuhaueleweki,nafikiri ingekuwa Bora zaidi kama utachukua zawadi kisha ukashauri utaratibu mzuri wa kuufanikisha mchakato huu kwa siku za usoni,angalau ukaheshimu nguvu ambazo jamaa walizitumia katika kulifanikisha hili

Well written.

Regia kavunja mipaka yote ya ubaguzi kwa vitendo.

Alipokuwa anagombea Ubunge Jimboni, kavunja mipaka ya Ubaguzi wa Jinsia na Ulemavu na kwa hili kaonyesha mfano kwa vitendo more than this shindano.

Need we say more?
 
Shukuran kwako na kwa wale wote waliojitokeza hadi kufanikisha zowezi zima la upigaji kura.

Ningependa tuzo hiyo apewe Regia Mtema kwa sababu

Mimi siamini kwenye 'nafasi/upendeleo maalum' kwa wanawake. Iwe katika siasa au katika jamii. Naamini kuwa katika masuala yasiyohusisha maumbile ya mwanamke na mwanamme basi jinsia zote mbili zinatakiwa kutizamwa kwa jicho moja. Poll maalum kwa wanawake haionyeshi kutambua kwamba michango ya wanawake na wanaume ina thamani sawa kwenye jamvi hili.

Katika kupinga mfumo dume

Gaijin :)

Gaijin; I support you but not for such a simplified case amabyo haina effect yoyote katika Gender zaidi ya Recognition. Unaweza kuanzisha thread juu ya mfumo dume na tukaichambua kwa undani. It can be more beneficial.
 
Superman na wengineo.Ninawashukuru wote,Superman kwa kuanzisha thread hii na wote walionipendekeza katika hatua za awali mpaka hatua ya kunipigia kura.Nawashukuru sana.

Binafsi huwa ninapenda mashindano ya aina yeyote ile ili mradi tu yafuate taratibu na kanuni.Niliona na kufuatilia tangu mchakato ulipofikia hatua ya kupigiwa kura za kupata mshindi.Ofcoz niliona mapungufu kadhaa lakini by then nilikuwa nimeshachelewa lakini nitayaweka wazi baaaye kwaajili ya kusadia michakato kama hii kwa siku zijazo.Shindano lilikuwa dogo laikni limeleta changamoto kadhaa,linahuisha JF na hata chipukizi wengine wanapata morale,wawe wanaume au wanawake.Binafsi nilifurahi nilipopendekezwa and am still proud of it.

Nimesoma mawazo ya Gaijin kuhusiana na mtazamo wake kuhusu tuzo.Amependekeza mimi ndio nipewe tuzo ya shindano hili.Kwa kuwa aliyependekeza naye ni mshindi basi nami nikiwa kama mwanasiasa ninayeamini katika mashindano mbalimbali na kama mwanaharakati wa masuala ya jinsia na ulemavu,nilnayeamini maana halisi ya mfumo dume,Ninaipokea tuzo hii ya shilingi laki moja kwa mikono miwili na kwa heshima na taadhima.

Superman.Naomba zawadi hiyo umkabidhi Maxence kama mchango wangu kwa JF...please fikisha.


Nashukuru sana kuwa JF Woman of the year 2010.

Aluta continua
 
WW ni mwanamke mwerevu sana,I real proud of you kwakweli,ngoja nikucheki kule kwenye uso wa kitabu niendelee kukupa misemo yakutumia ktk siasa!Natamani kungekuwa na kitufe cha th zaidi ya mara tano au 10 ungenielewa namaanisha nn!
Superman na wengineo.Ninawashukuru wote,Superman kwa kuanzisha thread hii na wote walionipendekeza katika hatua za awali mpaka hatua ya kunipigia kura.Nawashukuru sana.

Binafsi huwa ninapenda mashindano ya aina yeyote ile ili mradi tu yafuate taratibu na kanuni.Niliona na kufuatilia tangu mchakato ulipofikia hatua ya kupigiwa kura za kupata mshindi.Ofcoz niliona mapungufu kadhaa lakini by then nilikuwa nimeshachelewa lakini nitayaweka wazi baaaye kwaajili ya kusadia michakato kama hii kwa siku zijazo.Shindano lilikuwa dogo laikni limeleta changamoto kadhaa,linahuisha JF na hata chipukizi wengine wanapata morale,wawe wanaume au wanawake.Binafsi nilifurahi nilipopendekezwa and am still proud of it.

Nimesoma mawazo ya Gaijin kuhusiana na mtazamo wake kuhusu tuzo.Amependekeza mimi ndio nipewe tuzo ya shindano hili.Kwa kuwa aliyependekeza naye ni mshindi basi nami nikiwa kama mwanasiasa ninayeamini katika mashindano mbalimbali na kama mwanaharakati wa masuala ya jinsia na ulemavu,nilnayeamini maana halisi ya mfumo dume,Ninaipokea tuzo hii ya shilingi laki moja kwa mikono miwili na kwa heshima na taadhima.

Superman.Naomba zawadi hiyo umkabidhi Maxence kama mchango wangu kwa JF...please fikisha.


Nashukuru sana kuwa JF Woman of the year 2010.

Aluta continua
 
Superman na wengineo.Ninawashukuru wote,Superman kwa kuanzisha thread hii na wote walionipendekeza katika hatua za awali mpaka hatua ya kunipigia kura.Nawashukuru sana.

Binafsi huwa ninapenda mashindano ya aina yeyote ile ili mradi tu yafuate taratibu na kanuni.Niliona na kufuatilia tangu mchakato ulipofikia hatua ya kupigiwa kura za kupata mshindi.Ofcoz niliona mapungufu kadhaa lakini by then nilikuwa nimeshachelewa lakini nitayaweka wazi baaaye kwaajili ya kusadia michakato kama hii kwa siku zijazo.Shindano lilikuwa dogo laikni limeleta changamoto kadhaa,linahuisha JF na hata chipukizi wengine wanapata morale,wawe wanaume au wanawake.Binafsi nilifurahi nilipopendekezwa and am still proud of it.

Nimesoma mawazo ya Gaijin kuhusiana na mtazamo wake kuhusu tuzo.Amependekeza mimi ndio nipewe tuzo ya shindano hili.Kwa kuwa aliyependekeza naye ni mshindi basi nami nikiwa kama mwanasiasa ninayeamini katika mashindano mbalimbali na kama mwanaharakati wa masuala ya jinsia na ulemavu,nilnayeamini maana halisi ya mfumo dume,Ninaipokea tuzo hii ya shilingi laki moja kwa mikono miwili na kwa heshima na taadhima.

Superman.Naomba zawadi hiyo umkabidhi Maxence kama mchango wangu kwa JF...please fikisha.


Nashukuru sana kuwa JF Woman of the year 2010.

Aluta continua

Mkuu Regia;

I salute you in the name of mapambano!

You have Said it all. Ukisusa wenzio walaaaa. Maalimu Seif safari hii pia alishtuka bora tule wote!

With due respect. We will comply. Maxence upo?

Amandla mpiganaji wa Jinsia, Ubaguzi aina zote na Umaskini wa Ukweli
 
Status
Not open for further replies.
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom